Kwanini unaenda kwenye tamasha la Fiesta?

Kwanini unaenda kwenye tamasha la Fiesta?

Kiranja Mkuu

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2010
Posts
4,466
Reaction score
5,180
kwenda kwenye fiesta ni ubitozi, ujanja, ushamba, ulimbukeni, usasa, umachi noo au ni nini? Kwanini twende fiesta
 
Labda tuanzie hapa, kwanini tusiende fiesta?..................................
 
Tunakwnda kwa sababu ya kupata burudani thats all!
 
Onesha hoja ili tuchangie. Kusema tu kwanini twende au tusiende haitoshi.
 
Mabweshu wanaenda kuwachangia mshahara wazee wa mjengoni! Nani anabishaaa???
 
Emb ashume we ndo unamuandaa mtoto wako afanye mambo mema wiki ijayo alaf anakuambia baba/mama ngoja nfanye vunjajungu kesho!UTAMFANYAJE?
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
Burudani ya vunja jungu.
<br />
<br />
 
Tunaenda cheki vidosho na pambaz!!!!!!! Wwooowoooohhhh!!!!!!!!!!!!
 
Emb ashume we ndo unamuandaa mtoto wako afanye mambo mema wiki ijayo alaf anakuambia baba/mama ngoja nfanye vunjajungu kesho!UTAMFANYAJE?&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;
Namtoa roho akashtaki kwa Mungu kabisa kwamba nimemnyofoa roho coz alitaka kwenda kufanya uchafu kwa kujiandaa na toba.

Nyambaf!
 
Me naona ni ushamba tu.
Hivi shule za kata zimefungwa au bado?
Fiesta ni cku ya vijana wetu kutoana bikra, kujaribu na jaujifunza kunywa pombe, kuvuta sigara na bange, kujifunza kuvaa kama mnyama yani kuwa uchi.

Na ni cku ya kuambukizana ngoma kwa wale wazembe na wapenda vile vya chapchap kwenye kagiza.
 
kuna umri lazima uende hayo maeneo,chini ya miaka 23,baada ya hapo mvuto unatoweka..
 
Wanaenda kupata burudani, na hasa kuvunja jungu!
 
Kwa7bu kibonde na mchomvu walisema haina majooootroooo...
 
Back
Top Bottom