binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 15,148
- 40,880
Tatizo ni kuwa watu hawapati wapenzi wao wanadandia wapenzi wa wenzao, which is justifiable huwezi mpa hela kimazoea mpenzi wa wenyewe. Sana sana utampa pesa akupe sex upite hivi.dogo mwepesi sana kichwani.
Yaani hajui tofauti ya upendo na ngono.
Tukipendwa tunapewa pesa, si pesa tu na mengine mengi… We call it courtesy…. Na mara nyingi/kama si mara zote ni hiari.
Ukiona unakumbushwa au kudaiwa ni wazi hapo si mahala pako.