Kwanini umpe mwanamke hela?

Kwanini umpe mwanamke hela?

Tatizo sisi vijana tusipo wapa mabinti hela wanapewa na wazee wetu. Sasa ili tupate hela za kuwapa hatuna budi kuwaibia wazee wetu wake zao watuonge alafu tuwape hela mademu zetu..

Nb: Usimpe mwanamke hela uliyoitafuta kwa jasho, mpe hela uliyo hongwa na sugar mamy


Usipo liwa kidogo utajikuta unapiga nyeto mpaka uume unakua kama utumbo
 
Ni kama tu baadhi ya wanaume mnavyopanic when women try to oppose men's bad behaviours
Evidence please, Coz me nimemquote huyo akiwa na ushahidi wake maana sio first time naona anakuwa blow minded kila akiona mwanamke anaongelewa hasa kwenye tabia ya kuombaomba hela
 
Tatizo sisi vijana tusipo wapa mabinti hela wanapewa na wazee wetu. Sasa ili tupate hela za kuwapa hatuna budi kuwaibia wazee wetu wake zao watuonge alafu tuwape hela mademu zetu..

Nb: Usimpe mwanamke hela uliyoitafuta kwa jasho, mpe hela uliyo hongwa na sugar mamy


Usipo liwa kidogo utajikuta unapiga nyeto mpaka uume unakua kama utumbo
Oya dronedrake jamaa vipi huyu.!
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA jf
Acha kabisa Mzee utakosa vipi mwisho utaishia kupiga punyenga acha hizo pigo mkono mtupu haulambwi watu wanafuata umatemate, usiwalishe watu ujinga wakaishi na kuishia nao
 
Evidence please, Coz me nimemquote huyo akiwa na ushahidi wake maana sio first time naona anakuwa blow minded kila akiona mwanamke anaongelewa hasa kwenye tabia ya kuombaomba hela
Sio 1st time, other time ni wapi? Tofauti na huyu Mtafua ajira na mwenzake Loading failed?

Keep on watchin’
Mwenye uzi anajua fika sijawahi kum+ kwenye nyuzi zake za content hii hii.
 
Ukweli pesa kwa girl friend ni njia ya kurahisisha kupata ngono huku mwanamke akiamini anapendwa ,Pesa ingekua solution mahusiano mengi ya wenye hizo pesa yasinge vurugika, Pesa ya mwanaume ni halal kwa mke na watoto na hapo ndipo tunatakiwa kuwajibika kwa MACHOZI NA DAMU
 
Naunga mkono hoja, wanaume wavivu kwa nyanja karibia zote huziba mapengo ya udhaifu wao kwa pesa.

Mwanaume domo zege. huyu lazima amwage pesa

Mwanaume asiyejua mapenzi, Inabidi pesa imuokoe hapa

Mwanaume asiye na muda wa kutosha kwa mpenzi wake, hapa pesa inahitajika ili asimegewe

Mwanaume mshamba wa mapenzi, mzee hapa lazima uwe na mtaji.

Wanaume wajinga, wavivu, madomo zege wamewafanya hawa mabinti wawe malaya kwa kuwalaghai na pesa, wameingia kwenye maisha yao na kuwaaminisha mwanaume ni lazima atoe pesa ili penzi linoge wakati kiuhalisia wanatumia pesa kuficha madhaifu yao.

Niwaambie tu ukweli hao madem mnaowapa pesa tunaishi nao huku mtaani na habari zenu tunazo, hamuwezi lolote mnatumia pesa kuficha ujinga wenu.
 
Naskia raha nikiona andiko kama hili maana hela tutaendelea kuwapa tukiwa nazo na maskini wataendelea kulalamika hata wakitoa 5k tu itamuuma roho ila jifunzeni unapotoa ndipo Mungu anakujazia palipo pungua
Huna akili ww mbuzi, yn unatoa pesa kwenye ujinga afu unategemea Mungu akubariki 🗑️
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA jf
kwanini usimpe mwanamke hela?
 
Ok. Basi kuna sehemu tumepishana kidogo. Andiko langu linahusu mahusiano ya boyfriend and girlfriend. Kuhusu mke unaishi nae nyumbani kuna mawili kama mmekubaliana awe mama wa nyumbani basi ni wajibu wa mwanaume kubeba jukumu lote la ustawi wa kiuchumi kwenye familia na kama mmekubaliana mke awe mpambanaji basi nae anawajibika kuleta kitu mezani.
Hata kama mmekubaliana, mke hawajibiki kuleta kitu mezani ila unashauriwa kuoa mke mwenye akili na moyo wa kufanya hivyo. Wanawake wengi hasa wakizaa na wakiwa na kipato basi watoto wao huwa wanafaidika na hicho kipato.
Kuhusu boyfriend na girlfriend, hapo ndio kabisa inabidi umwage mpunga ili kumshawishi awe nawe maisha. labda kama haupo serious.
Hata kama haupo serious, mwanamke anayejielewa na anayejua thamani yake ukimdate anategemea awe spoiled sema wanaume wengi siku hizi ni kama wanawake tu.
 
Back
Top Bottom