Kwanini umpe mwanamke hela?

Kwanini umpe mwanamke hela?

Haha, yaani ndio maana na kwambia Gen Z ni wajinga. Mimi si mjinga kutaja kitu nisichokijua, chakushangaza vizazi vilivyopita ndio walilea wanawake bila kelele ila nyie ni shida. Acheni mkumbo wakufuata internet 😆😆😆. Tumia akili dogo.
Kuna sehemu mwenye net umeambiwa umpe mwanamke hela? Mkuu huna za kutoa piga kimya usitake kila mtu awe na roho mbaya kama yako mimi ntampa mwanamke yeyote ninayemtumia ni moyo wa upendo na kutoa nasikitika kama ww ni mtu mzima alafu ushindwe kumpa demu kalaki akaenjoy weekend 😂😂😂 ukitoa hupungukiwi chochote mkuu ni moyo tu ni kama unavyosaidia maskini wasiojiweza sasa mtu anakupa penzi anakupeleka kwenye vilele vya raha unaona soo kumpa hela acha ubahili usio na mbele wala nyuma
 
Kuna sehemu mwenye net umeambiwa umpe mwanamke hela? Mkuu huna za kutoa piga kimya usitake kila mtu awe na roho mbaya kama yako mimi ntampa mwanamke yeyote ninayemtumia ni moyo wa upendo na kutoa nasikitika kama ww ni mtu mzima alafu ushindwe kumpa demu kalaki akaenjoy weekend 😂😂😂 ukitoa hupungukiwi chochote mkuu ni moyo tu ni kama unavyosaidia maskini wasiojiweza sasa mtu anakupa penzi anakupeleka kwenye vilele vya raha unaona soo kumpa hela acha ubahili usio na mbele wala nyuma
Mimi nitabaki kukwaambia Gen Z ni wajinga 😆 😆 😆 , mbona unajidefine mwenyewe. Hamkamilishi maandiko ila mnayafupisha kukidhi matamanio yenu. Gen Z ni wajinga😆😆
 
Mimi nitabaki kukwaambia Gen Z ni wajinga 😆 😆 😆 , mbona unajidefine mwenyewe. Hamkamilishi maandiko ila mnayafupisha kukidhi matamanio yenu. Gen Z ni wajinga😆
Maskini unatia huruma sana
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man has a reaponsibility to take care of a girlfriend financially; au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe, then there are no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA JF.
Ili upewe 0715
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man has a reaponsibility to take care of a girlfriend financially; au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe, then there are no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA JF.
Ili upewe 0715
 
Back
Top Bottom