Kwanini umpe mwanamke hela?

Kwanini umpe mwanamke hela?

Kwanini umtafutie cha kufanya mkuu? ilo jukumu lake, kupitia 50/50 mwanamke ashapewa access zote za kujipambania mwenyewe, mbona mnataka kuwa-treat hawa wanawake kama vile ni watoto wadogo. Mawazo kama yako matokeo yake wanawake ndio wanajiona wanatakiwa kubebwa bebwa tu kwenye kila kitu.
Unapojifunga wewe ni kumwambia neno UPENDO.
sijui hata kama unaelewa?
Kama ukitaka ngono ipo tu na Pesa yako.
Kitu kama unakipenda hutaacha kukipigania.
Pale pale mwanzo ulipomtongoza ungemwambia mimi nimekutamani hapo angejua anapambana kivyake
 
Kwani mkuu swali rahisi

Nani alianza kumtongoza mwenzake? Wewe si umemwambia unampenda?
Kwani maana ya kupenda kitu hujui[emoji23]?
Ujasiri wa kutongoza unatokana na haiba tu za kibinadamu, sio rahisi kwa mwanamke kumfungukia mwanaume labda ataonesha ishara tu then mwanaume ndo ajiongeze. Kuna wanaume wanatongozwa na wanawake kwa njia mbalimbali je ni sahihi kwa hao wanaume kuwapelekea invoices za mahitaji yao hao wanawale wanaowatongoza?
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA jf
sasa utapataje 0659?
 
Ujasiri wa kutongoza unatokana na haiba tu za kibinadamu, sio rahisi kwa mwanamke kumfungukia mwanaume labda ataonesha ishara tu then mwanaume ndo ajiongeze. Kuna wanaume wanatongozwa na wanawake kwa njia mbalimbali je ni sahihi kwa hao wanaume kuwapelekea invoices za mahitaji yao hao wanawale wanaowatongoza?
Wapo wanawake wanaotongoza wanaume kuna mshkaj kakuwekea uzi pale juu nilifikir umeusoma.
Kasema hivi

Mwanamke anayependa kuhudumiwa anaendana sambamba na mwanaume anayependa kulelewa marioo
Mwanamke asiemtii mwanaume wake anaendana na mwanaume asiye na upendo na mke wake
Maanamke aliyepo kwenye mahusiano sababu ya pesa anaendana na mwanaume aliyepo kwenye mahusiank sababu ya kutaka mapenzi tu.
Ule uzi nilkikuwa sijauona ila jamaa kaandika vzru san
 
Wapo wanawake wanaotongoza wanaume kuna mshkaj kakuwekea uzi pale juu nilifikir umeusoma.
Kasema hivi

Mwanamke anayependa kuhudumiwa anaendana sambamba na mwanaume anayependa kulelewa marioo
Mwanamke asiemtii mwanaume wake anaendana na mwanaume asiye na upendo na mke wake
Maanamke aliyepo kwenye mahusiano sababu ya pesa anaendana na mwanaume aliyepo kwenye mahusiank sababu ya kutaka mapenzi tu.
Ule uzi nilkikuwa sijauona ila jamaa kaandika vzru san
Umesema kwamba mwanaume kuanza kumtongoza mwanamke ndio justification ya kutakiwa kumuhudumia uyo mwanamke, nikakuuliza kama kigezo ni kuanza kutongoza je mwanamke akianza kumtongoza mwanaume ni halali kwa uyo mwanaume kutaka kutimiziwa mahitaji yake na uyo mwanamke?
 
Umesema kwamba mwanaume kuanza kumtongoza mwanamke ndio justification ya kutakiwa kumuhudumia uyo mwanamke, nikakuuliza kama kigezo ni kuanza kutongoza je mwanamke akianza kumtongoza mwanaume ni halali kwa uyo mwanaume kutaka kutimiziwa mahitaji yake na uyo mwanamke?
Ni halali kwa sababu kampenda.
Nafikiri unachoelewa wewe upendo ni kufanya ngono tu hapo ndipo unapokosea😂😂
Na wapo wanaume wanalelewa kwa sababu walitongozwa na wanapendwa kwani mkuu wewe huyasikiagi?
 
Mtu unayempenda haumlipi unamuhudumia sababu ya upendo wako kwake
Unayemlipa ni kahaba au malaya
Ukilipenda ua lazima i ulinyeshee maji asubuhi na jioni ili liendelee kupendeza.

Umeelewa tofauti na kulipa na kuhudumia?
Mkuu hapa kilichobadilika ni jina tu kwa mwanamke mmoja malipo yanaitwa bei na kwa mwanamke mwingine malipo hayo hayo yanaitwa huduma, kwa kifupi wanawake wote hao ni makahaba wametofautiana mbinu tu.
 
Mkuu hapa kilichobadilika ni jina tu kwa mwanamke mmoja malipo yanaitwa bei na kwa mwanamke mwingine malipo hayo hayo yanaitwa huduma, kwa kifupi wanawake wote hao ni makahaba wametofautiana mbinu tu.
Unajua unapokosea wewe ni katika siku uliyomtongoza. Ulimwambiaje?
Tuanzie hapo ili nikufundishe uone🤣
 
Ni halali kwa sababu kampenda.
Nafikiri unachoelewa wewe upendo ni kufanya ngono tu hapo ndipo unapokosea[emoji23][emoji23]
Na wapo wanaume wanalelewa kwa sababu walitongozwa na wanapendwa kwani mkuu wewe huyasikiagi?
Mwanaume kulelewa iyo ni mbaya sana. Kupigwa tafu na mkeo kipindi umeyumba kiuchumi ni sawa but you have to fight mambo yako yasimame
 
Bila kusoma[emoji28]

KWANINI USIMPE MWANAMKE WAKO HELA?
Kwa sababu umemuheshimu kwa kumuona ana nguvu na akili za kujitafutia mwenyewe, kumpa mwanamke hela wakati amepewa access zote za kujitafutia mwenyewe uko ni kumdharau na kumuona she is good for nothing.
 
Ujasiri wa kutongoza unatokana na haiba tu za kibinadamu, sio rahisi kwa mwanamke kumfungukia mwanaume labda ataonesha ishara tu then mwanaume ndo ajiongeze. Kuna wanaume wanatongozwa na wanawake kwa njia mbalimbali je ni sahihi kwa hao wanaume kuwapelekea invoices za mahitaji yao hao wanawale wanaowatongoza?
Ni sahihi. Na kuna wanaume wengi tu wanafanya hivyo, Waulize mashangazi wakuambie.

If you have what it takes tulia utahudumiwa hamna haja ya kutumia nguvu.
 
Back
Top Bottom