Kwanini umpe mwanamke hela?

Natafuta Ajira

JF-Expert Member
Mar 25, 2020
4,425
9,824
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man has a reaponsibility to take care of a girlfriend financially; au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe, then there are no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA JF.
 
I mean no malice to nobody
Screenshot_20240116-162151_1.jpg
 
Ukimpa mwanamke hela, atakuvumilia na wewe utaenjoy.
Ukiendekeza sijui mapenzi ya dhati, kuna siku utaumbuliwa. huwa yanaisha hayo.
Atakuvumilia kwa lipi sasa? Kwamba uyo mwanaume anajinyea kwaiyo mwanamke atamtawaza? Au mwanamke haitaji mwenza kwaiyo kuamua kuwa na mwanaume ni kumuonea huruma tu? In which way a man become a burden kusema mwanamke analzimika kupewa hela ili amvumilie uyo mwanaume?
 
Atakuvumilia kwa lipi sasa? Kwamba uyo mwanaume anajinyea kwaiyo mwanamke atamtawaza? Au mwanamke haitaji mwenza kwaiyo kuamua kuwa na mwanaume ni kumuonea huruma tu? In which way a man become a burden kusema mwanamke analzimika kupewa hela ili amvumilie uyo mwanaume?
Majibu yapo humo.

Pole sana mkuu.
 
UWABATA mnasupport 50/50 tusipowapa hela wapewe na nani?

mnataka wafanye kazi wapate hela waanze kutukoromea?
Wapewe hela na baba au kaka zao au lah wafanye kazi na izo hela wakizipata wajue pia wao ni wanawake wana wajibu na mipaka yao katika mahusiano. Mwanamke akileta jeuri sisi kwetu ujaluoni tunajua cha kufanya.
 
Majibu yapo humo.

Pole sana mkuu.
Hakuna majibu umo ni upumbavu mtupu
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA jf
Tatizo ww huna ajira. Kwa hiyo suala la pexa kwako litakua ngumu. Usitupe ushawishi mbaya. Tutazidi kuwahudumia. Hadi mwisho was dunia. Hawa viumbe ndio sitara zetu na viburudisho vyetu
 
Uyo mwanamke ni mlemavu, ame-paralyse au mtoto yatima? Kama ishu ni sex iyo ni mutualy pleasure sasa kwanini mwanaume ugharamie.!

Hela anatakiwa kupewa na baba ake, no man have reaponsibility to take care of a girlfriend financialy, au kama anauza mbususu ataje bei twende geto tukamalizane nimlipe then no attachments.

The purpose of love relationship is to make love not to provide money. Nyie wanaume maboya embu amkeni basi.

Rais wa UWABATA jf
Unampa ili akupe, quid pro quo....nothing goes for nothing.
 
Back
Top Bottom