Dogo ana stress sana, kilichobaki atashika ukutaTatizo ww huna ajira. Kwa hiyo suala la pexa kwako litakua ngumu. Usitupe ushawishi mbaya. Tutazidi kuwahudumia. Hadi mwisho was dunia. Hawa viumbe ndio sitara zetu na viburudisho vyetu
Sina shida na anaefanya biashara ya ukahaba ni suala la kuelewana bei na kumalizana baada ya hapo hatujuani tena.Unampa ili akupe, quid pro quo....nothing goes for nothing.
Siku ukiwa na content mpya nakupa ajira
Akili ishaliwa dogo. Sasa makahaba tangu Lini akakutafutaSina shida na anaefanya biashara ya ukahaba ni suala la kuelewana bei na kumalizana baada ya hapo hatujuani tena.
Mimi binafsi nampa mwanamke hela pale ninapojisikia na sio kunidai tanģu naanza mapenzi nipo hivyo hadi leo hii... mademu wengi nishawapiga chini kwasababu hakuna kitu kinanitia kinyaa kama kuambiwa neno "utaweza kunihudumia?" Ndio maana napenda sana mademu wa kuwanunua,kwanza uzinifu ni dhambi sasa iweje dhambi initie hasara za pesa ambazo ningefanyia mambo ya msingi? Watoto wà cotc na saut hapa mtwara ukienda nao kwa mfumo wa mapenzi sijui yakudumu lazima wakufilisi utakuta unatumia kwake mpaka70000 kwa wiki halafu ndani ya wiki moja unamchapa mara 2 tu tena ni goli 2 ambazo jumla unamchapa goli 4 wiki mzima kwa 70000...wakati nikitumia mfumo wa kununua nampa 15000 namkanyaga viwili kwa hiyo 15000×2=30000Dogo ana stress sana, kilichobaki atashika ukuta
Kweli kabisa mkuu.Mimi binafsi nampa mwanamke hela pale ninapojisikia na sio kunidai tanģu naanza mapenzi nipo hivyo hadi leo hii... mademu wengi nishawapiga chini kwasababu hakuna kitu kinanitia kinyaa kama kuambiwa neno "utaweza kunihudumia?" Ndio maana napenda sana mademu wa kuwanunua,kwanza uzinifu ni dhambi sasa iweje dhambi initie hasara za pesa ambazo ningefanyia mambo ya msingi? Watoto wà cotc na saut hapa mtwara ukienda nao kwa mfumo wa mapenzi sijui yakudumu lazima wakufilisi utakuta unatumia kwake mpaka70000 kwa wiki halafu ndani ya wiki moja unamchapa mara 2 tu tena ni goli 2 ambazo jumla unamchapa goli 4 wiki mzima kwa 70000...wakati nikitumia mfumo wa kununua nampa 15000 namkanyaga viwili kwa hiyo 15000×2=30000
na hakuna KE asiyetaka pesa za MEyeye anataka pesa zako
Kama hutaki kumuhudumia unamtafutia kazi tu asikusumbue unaachana nae.na hakuna KE asiyetaka pesa za mpenzi wake ME
wamejificha kwenye neno lingine = kuhudumiwa
Mimi binafsi ninachofanya ni kutenga tu kama 20000 au 15000 nawacheki mawakala wangu ambao wapo cotc na mwìngine yupo saut na mwingine TIA nawastua tu kuna yeyote mwenye bidhaa yakulika leo ? Kwahiyo akija hakuna cha chipsi wala soda hata maji nimejitahidi kabisa ni kukulipia bodaboda tuKweli kabisa mkuu.
Huyo anayesema hivo ni malaya kwahyo wewe hauna upendo nae wa dhati umemtamani na yeye anataka pesa zako full stop unachapa unaachana nae
Kijana money is power, kinachofanya mwanaume awe na mamlaka ya kumtawala mwanamke ni kwa sababu ya kumhudumia tu na si kitu kingine, sasa wanaume mkishaacha kuwahudumia wanawake na wakaanza kujitafutia wenyewe basi sahauni kuhusu mamlaka ya kuwatawala tena na huo ndio uhalisiaWapewe hela na baba au kaka zao au lah wafanye kazi na izo hela wakizipata wajue pia wao ni wanawake wana wajibu na mipaka yao katika mahusiano. Mwanamke akileta jeuri sisi kwetu ujaluoni tunajua cha kufanya.
Hilo halina shida mkuu, sababu mwanamke malaya anaendana na mwanaume anayenunua hapo akija unapiga unampa chake anatembea.Mimi binafsi ninachofanya ni kutenga tu kama 20000 au 15000 nawacheki mawakala wangu ambao wapo cotc na mwìngine yupo saut na mwingine TIA nawastua tu kuna yeyote mwenye bidhaa yakulika leo ? Kwahiyo akija hakuna cha chipsi wala soda hata maji nimejitahidi kabisa ni kukulipia bodaboda tu
kwanza rekebisha hapa , iwe "kama hutaki kumpa pesa"kama hutaki kumuhudumia
Ukishaweka wajibu wa kutoa hela kama nguzo ya kushikilia mahusiano basi hata uyo unayempa hela nae anajiuza anachotofautiana na wale wa kitambaa cheupe na wanaojipanga barabarani ni mbinu tu. Soma vizuri comment ya mshkajiKweli kabisa mkuu.
Huyo anayesema hivo ni malaya kwahyo wewe hauna upendo nae wa dhati umemtamani na yeye anataka pesa zako full stop unachapa unaachana nae
Kwani yeye hana mahitaji yakekwanza rekebisha hapa , iwe "kama hutaki kumpa pesa"
kisha, unarudi pale pale kwenye hoja ya mtoa mada
kwanini anasema yeye hauzi, lakini anataka umhudumie (umpe pesa) la sivyo hakupi penzi
kwa maana yeye ni ..................