Mimi nimezipotezea comment zako kwa sababu nimeona haunielewi, napigia mbuzi gitaa tu. Nakuelekeza kwa mara ya mwisho. Upendo sio justification ya kutoa hela. Kwa namna yoyote hela ikishatumika kama medium ya kuwezesha chochote katika mahusiano iyo ni biashara, linabdilishwa jina tu la hela unayotoa, ile hela unayompa mwanamke ufanye nae sex instantly inaitwa bei na unayompa uyo unaedai unampenda ili kutengeneza mazingira ya yeye kukurudishia upendo au kutengeneza mazingira ya kupata sex inaitwa matunzo. Kimsingi hao wanawake wote wanajiuza wanatofautiana mbinu tu.