Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Na uwepo wako hapa duniani unafikiri hauna muunganiko na imani..

Imani ambazo zipo ktk Dini na wewe umezitukana. Kwamba kupitia hizi imani thats why we exist.

Yani hatukutokea ktk hii planet kwa bahati mbaya.
Kabisa.! Ila huna uhakika kuwa Mungu unamtafuta katika dini pekee. Sivyo?

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Na uwepo wako hapa duniani unafikiri hauna muunganiko na imani..

Imani ambazo zipo ktk Dini na wewe umezitukana. Kwamba kupitia hizi imani thats why we exist.

Yani hatukutokea ktk hii planet kwa bahati mbaya.
Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,

ukishindwa sema tukusaidie kuuona huo mkanganyiko na uongo wa vitabu vya Dini.
 
Huwezi kumkuta Muislamu hata akiwa haendi msikitini ,haswali na mfanya maasi akijianika na kujisifia kuwa haendi msikitini ,labda huyo awe ameachana na imani ya mara nyingi huwa ujasiri huo hana kwani nafsi yake itakuwa inamsuta.

Misingi ya Uislamu ni haitakiwi mtu kutangaza uovu wake ikiwa Mwenyezi Mungu amemsitiri kwani ni uovu mkubwa mtu kufanya kibri katika maasi na kujisifia kuliko hata uovu wa kosa lenyewe.Na kuna uwezekano mkubwa asitubie kwa kuona ni kitu kizuri ila yule mwenye hofu na akaficha aibu zake kuna uwezekano mkubwa wa kupata rehma akatubu au kusamehewa.

Ila nashangaa upande wenu kila mtu anafunguka bila wasiwasi kama amefanya jambo ambalo zuri , huu sio uzi wa kwanza upo uzi mwingine watu wakijisifia masiku ambayo wasiyoenda Kanisani wakijiona watabe . Unakuta na mtu humu anahubiri neno la biblia lakini u amkuta kesho anapost uzi jinsi anavyogegeda watoto wa watu tena wakati mwingine akijisifu bila aibu.
Umeongea kitu kikubwa sana katika imani yoyote huwezi jisifia kutenda dhambi.

Wengi wao wanaojisifia hivyo, wanafanya mizaha ili waonekana wa maana zaidi. Tena unakuta mwingine anadanganya tu, lakini kiuhalisia hajawahi kanyaga kanisani au hajawahi kuacha kwenda.
 
Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,

ukishindwa sema tukusaidie kuuona huo mkanganyiko na uongo wa vitabu vya Dini.
Usiichukulie dini kama technical term...

It's Faith. Mbona unafanya complications
 
Imani hazipo katka Dini, fungua akili yako Em fany pitia vizuri maandiko ya kitabu cha Dini yako alaf uone mkanganyiko uliopo humo,

ukishindwa sema tukusaidie kuuona huo mkanganyiko na uongo wa vitabu vya Dini.
Kwamba jua linazunguka kumbe dunia ndiyo inazunguka. Galileo aliwasanua wengi mno.

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom