Experience na mitazamo binafsi hazitakiwi kutumika kama misingi ya mafundisho.nilipoona wahubiri wanafundisha na kukemea vitu kutokana experience za maisha yao, na mitazamo yao isiyo sadiki ukweli wa maisha nitazamavyo mimi. nikala nduki
Mungu hakuumba dhambi wala shida.Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.
Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Mungu aliweza au hakuweza kuumba ulimwengu usiowezekana kuwa na dhambi wala shida?Mungu hakuumba dhambi wala shida.
Dhambi na shida ni matokeo ya mwanadamu kuchagua ambacho alishapewa maelekezo asichague.
Mungu mwenye uwezo wote aliwapa uhuru wanadamu,hakuwa dikteta.Alimpa mwanadamu uhuru kuchagua achague uzima au kifo..Na ukisema Mungu hana upendo bado turudi kwenye biblia kwamba baada ya kutomtii Mungu kwa mara ya kwanza anatoa tena nafasi nyingine ya kuchagua kumwamini au kutomwamini,ukiamini unapata uzima wa milele yohana 3:16-18 ila usipoamini umeshahukumiwa tayari.
Kiufupi kama hauamini biblia ni ngumu kuelewa.Kuamini /kutoamini baada ya kupata maelezo yanayojitosheleza ni juu yako.
pole ndugu yangu ufahamu wako umefungwa siku ukifunguliwa huo ufahamu utapata majibu ya maswali yako yote Jitahidi usome kitabu chote cha Mwanzo (Genesis) kirudie tena na tena kuna siku ufahamu wako utafunguka.Kwa sababu niligundua Mungu hayupo na habari za kuwapo Mungu ni hadithi za kutungwa na watu tu.
Niligundua hivyo baada ya kufikiri sana kuhusu "the problem of evil", yani jinsi gani Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote kuumba ulimwengu unaoweza kuwa na mabaya, dhambi na shida ni contradiction, na mpaka leo hakuna aliyeweza kutatua contradiction hii.
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao ufahamu wa mtu yeyote unaweza kufungwa?pole ndugu yangu ufahamu wako umefungwa siku ukifunguliwa huo ufahamu utapata majibu ya maswali yako yote Jitahidi usome kitabu chote cha Mwanzo (Genesis) kirudie tena na tena kuna siku ufahamu wako utafunguka.
Mkuu hiki ulichoandika kimeandikwa pia kwenye Bible? kama kipo naomba reference ila nakufunulia kidogo Mungu sio kiumbe mmoja Mungu ni MFUMO - (Trinity System) - Baba, Mwana na Roho na unachopaswa kujua na kukifahamu kuanzia leo ni kwamba huu ulimwengu tuliopo si mahala tulipopaswa kuwapo (Refer makosa ya adam na eve) na Mungu ametuweka huku ili tupate nafasi ya kujifikiria ili turudi tunapotakiwa kuwa (Peponi) na mwisho Mbinguni. Soma kitabu cha mwanzo chote kisha kirudie kuna siku Mungu atakufunulia.Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao ufahamu wa mtu yeyote unaweza kufungwa?
Huoni contradiction hapo?
Unaelewa contradiction ni nini?
Kwa nini Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aumbe ulimwengu ambao inawezekana watu wakakosea, ikiwa aliweza kuumba ulimwengu ambao watu hawawezi kukosea?Mkuu hiki ulichoandika kimeandikwa pia kwenye Bible? kama kipo naomba reference ila nakufunulia kidogo Mungu sio kiumbe mmoja Mungu ni MFUMO - (Trinity System) - Baba, Mwana na Roho na unachopaswa kujua na kukifahamu kuanzia leo ni kwamba huu ulimwengu tuliopo si mahala tulipopaswa kuwapo (Refer makosa ya adam na eve) na Mungu ametuweka huku ili tupate nafasi ya kujifikiria ili turudi tunapotakiwa kuwa (Peponi) na mwisho Mbinguni. Soma kitabu cha mwanzo chote kisha kirudie kuna siku Mungu atakufunulia.
Mkuu,
Hakuumba dhambi/shida.Mungu aliweza au hakuweza kuumba ulimwengu usiowezekana kuwa na dhambi wala shida?
Unaposema dhambi na shida ni matokeo ya mwanadamu kuchagua alichoambiwa asichague, huyo Mungu hakujua mwanadamu atachagua alichochagua?
Nimeyasoma maelezo yako..!Niliweza kugundua kwa kuona irreconcilable contradictions.
Nilitumia mantiki kujua.
Mantiki iliniongoza kujua, logical consistency.
A world that has an omnipotent, omniscient and omnibenevolent God, cannot have evil without creating an irreconcilable contradiction.
Mantiki, logic, logical consistency.
Soma hiki kitabu.
"Philosophy of Religion: An Anthology.
Naki attach hapa, soma "PART IV The Problem of Evil 276"
Halafu angalia Epicurean Paradox hapo chini.
View attachment 2669670
Ukikataa logic pia umemkataa Mungu.Nimeyasoma maelezo yako..!
Nimeona umeegemea kwenye vitu viwili, 1)logic na 2)evil
1) logic kwa maana ukweli unaoitwa ukweli wa kwamba Mwenyezi Mungu ni mkuu na muweza wa yote haiendani na uhalisia uliopo Duniani
2)Evil, madhambi, matukio mabaya na matatizo yanayoikumba Dunia kwanini yapo na Mwenyezi MUNGU haingilii kuyazuia.
Ok, sasa tuje kwenye maswali yafuatayo.
Unahisi kutokana na hoja namba moja kwamba The Lord God that is stated that is so powerful, omnipotent and omniscient has failed to intervene this situation, vipi kama ameamua kukaa kimya kutulia na kuwaacha kuwaingilia wanadamu kwa kipindi alichojiwekea?
Because he is omniscient he can do anything to redo or remake anything he want.
Hauni kama statement inayosema he is omniscient na principle zako za logic zinajicontradict?
Don't you see if something is omnipotent and omniscient can revoke all principles including logical principles that you are using to ignore him?
Don't you see If The LORD is omniscient and omnipotent can do anything at any moment to any one as HE (LORD) wish?
Dont you see logically describing power of someone WHO is omniscient and omnipotent can lead to contradiction and Dialetheism or both?
Kwa mujibu wa maelezo yako ya hoja namba mbili umegusia evil and all bad things happen in this Earth including diseases, war, disasters deaths and all others bad things.
Ok, nakubaliana na wewe let's assume chanzo cha hayo yoote mabaya yanayotokea yanasababishwa na mwanadamu ignore all natural events kama tsunami, earthquakes n.k let's assume hayo yote yanasababishwa na mwanadamu and lets put the god (imaginary god) at human level kwamba his power has limit and he is not omnipotent and omniscient and he cannot intervene those issues that's why evil inatokea duniani.
Ok, sasa tujiulize....
What about the an infinity Universe?
Who made this gigantic vast limitless universe?
Who control and arrange our solar system, our galaxy and our universe in mystical ways as it is?
Where is everything come from?
Can logical principles apply this?
Can you explain the source, operation and control capability of all of these mystiries in the universe in human power level?
Can you explain to me what is omnipotent and omniscient?Ukikataa logic pia umemkataa Mungu.
Kwa sababu umekubali ulimwengu wa chaos ambao ni wa anything goes ambao haumuhitaji Mungu.
Can you explain to me what is omnipotent and omniscient?
Kama ni just made up stories,Omnipotent = one with ability to do all.
Omniscient = one with ability to know all.
These are abstract concepts, like a square that is simultaneously round.
The fact that you can say "round square" does not mean there is such a thing.
Omnipotence and omniscience does not exist, these are just made up stories, abstract concepts.
Kwa nini swali lako linauliza "nani"? Unajuaje jibu sahihi linatokana na swali la "nani"?Kama ni just made up stories,
Please explain hoja yangu ya pili kuhusu swala la universe.
Nilifafanua kuhusu logic ambapo ww uliegemea, umepinga. Okay sasa tufafanulie kuhusu ulimwengu
Kama Mwenyezi Mungu sio omnipotent and omniscient basi tueleze nani aliepelekea huu ulimwengu kutokea na kuendelea kuwepo.
Let's assume all evils and bad things that are happening in this world LORD can not intervene because HE is not exist,
Okay, explaine to us how the vast limitless, trillions of stars, galaxies, earth and everything exist.
How do they formulate, na ni nani ameziunda? Don't you see logic principles can't fit here?
Scientists have proven that the universe is extremely huge and is made up from nothing. Remember those are scientists and physicists who use logic, scientific and mathematics principles to explain things. They are saying the universe is "made up" from nothing but "a bing bang" from nowhere pop ulimwengu ukatokeza.
Can't you see whoever did these is omniscient and omnipotent to the extent that comparing HIM to those tiny problems on Earth is close to nothing?
Can't you see from point of view comparing LORD'S power to those tiny issues happening in this earth is like comparing a cup of sand and the sand that appearing at the beach?
Vipi kama MWENYEZI MUNGU baada ya kuiumba Dunia aliamua kuamisha concentration yake sehemu zingine akaicha Dunia iende itakavyo yenyewe? Na sio kwamba kashindwa kuintervene?
Tafakari..
Okay, put into anyways you want to put.Kwa nini swali lako linauliza "nani"? Unajuaje jibu sahihi linatokana na swali la "nani"?
Huoni swali lako lina bias?
Oya hahaah unazingua ujueShetani amenikamata kwenye suala la ngono