Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Uliwezaje kugundua?

Ulitumia nini kugundua?

Nini kilikuongoza kugundua?

Which aspects did you use to come to the conclusion that source of evil is result of absence of LORD?

Ulitumia methodologies gani kugundua? njia zipi za kitaalamu? Na uliweza kuprove VP jambo hili?
Niliweza kugundua kwa kuona irreconcilable contradictions.

Nilitumia mantiki kujua.

Mantiki iliniongoza kujua, logical consistency.

A world that has an omnipotent, omniscient and omnibenevolent God, cannot have evil without creating an irreconcilable contradiction.

Mantiki, logic, logical consistency.

Soma hiki kitabu.

"Philosophy of Religion: An Anthology.

Naki attach hapa, soma "PART IV The Problem of Evil 276"

Halafu angalia Epicurean Paradox hapo chini.

epicurean_paradox.jpg
 

Attachments

Ngoja ni kujibu hivi Adriz, ukristo unaendana na uhuru sisi hatutishani kukatwa kichwa Wala vidole au mkia,. Biblia itabaki kama ilivyo sisi tunadili na wale wanaoitumia bible vibaya kufanya biashara . Kuwanyonya waamini wao. Mfano mdogo tu tunachangia ujenzi wa shule lakini ada na lipa sawa na mtu wa Imani nyingine ambae hakuchangia. Mara nyingi wanaochangia hizo taasisi hawanufaiki. Mchungaji anaishi nyumba ya milioni mia waumini hata mlo Moja kwao ni shida, anasomesha watoto shule za kulipia, Akitaka kitu yeye mnamchangia mkitaka waumini anasema ana waombea huo si utahira.kwanini yeye asijiombee
 
Huwezi kumkuta Muislamu hata akiwa haendi msikitini ,haswali na mfanya maasi akijianika na kujisifia kuwa haendi msikitini ,labda huyo awe ameachana na imani ya mara nyingi huwa ujasiri huo hana kwani nafsi yake itakuwa inamsuta.

Misingi ya Uislamu ni haitakiwi mtu kutangaza uovu wake ikiwa Mwenyezi Mungu amemsitiri kwani ni uovu mkubwa mtu kufanya kibri katika maasi na kujisifia kuliko hata uovu wa kosa lenyewe.Na kuna uwezekano mkubwa asitubie kwa kuona ni kitu kizuri ila yule mwenye hofu na akaficha aibu zake kuna uwezekano mkubwa wa kupata rehma akatubu au kusamehewa.

Ila nashangaa upande wenu kila mtu anafunguka bila wasiwasi kama amefanya jambo ambalo zuri , huu sio uzi wa kwanza upo uzi mwingine watu wakijisifia masiku ambayo wasiyoenda Kanisani wakijiona watabe . Unakuta na mtu humu anahubiri neno la biblia lakini u amkuta kesho anapost uzi jinsi anavyogegeda watoto wa watu tena wakati mwingine akijisifu bila aibu.
Labda nakua kimya kwa ajili ya usalama wake mkuu.
 
Back
Top Bottom