Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Sababu ni nyingi ila nimegundua kanisa la sasa ni biashara kama zilivyo biashara zingine.
Kanisa siku zote limekuwa ni biashara ya kuuziwa Mungu ambaye hayupo.

Ila, kadiri siku zinavyozidi ndivyo uroho wa waongoza kanisa unavyozidi, na macho ya waumini yanavyozidi kufunguka, ndiyo maana unaona kanisa la sasa ni biashara.
 
Watakuwa hawakujui huku jf unachokifanya wallahi!!
Mimi nawazaga hivi ikitokea siku mtu wangu wa karibu kashika simu yangu kaingia jf sijui nitaweka wapi uso wangu
Bichwa Mokwee aisee wangeona anachofanya jf sipati picha eti anasema mbona mnatukanana mnatudindisha bhana
 
Kanisa siku zote limekuwa ni biashara ya kuuziwa Mungu ambaye hayupo.

Ila, kadiri siku zinavyozidi ndivyo uroho wa waongoza kanisa unavyozidi, na macho ya waumini yanavyozidi kufunguka, ndiyo maana unaona kanisa la sasa ni biashara.
Halafu Kiranga unaonekana ulikuwa church boy mno wewe.
 
Kule kusema amen amen kila kila wakisoma andiko kulinishinda!

Utitiri wa michango sijalipa huu Kuna huu mingine hata naisahau

Pale usharikani ukiwa unaenda ibada zote wanakupa kitengo🤣🤣unakua manamba wa kanisa, ukishapewa kitengo ni mtego huo
 
Kule kusema amen amen kila kila wakisoma andiko kulinishinda!

Utitiri wa michango sijalipa huu Kuna huu mingine hata naisahau

Pale usharikani ukiwa unaenda ibada zote wanakupa kitengounakua manamba wa kanisa, ukishapewa kitengo ni mtego huo
Mtego kivipi? ila nawe si unafaidika kwa viposho au?
 
Back
Top Bottom