BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 7,977
- 20,034
Mabwaku!mkuu wa maticha
Mabwaku!mkuu wa maticha
Kanisa siku zote limekuwa ni biashara ya kuuziwa Mungu ambaye hayupo.Sababu ni nyingi ila nimegundua kanisa la sasa ni biashara kama zilivyo biashara zingine.
Wizo hujawai kuwa serious 😂😂😂Mabwaku!
Wizo hujawai kuwa serious![]()



huwezi amini hapa nilipo niko serious balaaa kila mtu ananiamkia shkamooWatakuwa hawakujui huku jf unachokifanya wallahi!! 🤣🤣🤣🤣huwezi amini hapa nilipo niko serious balaaa kila mtu ananiamkia shkamoo
Watakuwa hawakujui huku jf unachokifanya wallahi!!
Mimi nawazaga hivi ikitokea siku mtu wangu wa karibu kashika simu yangu kaingia jf sijui nitaweka wapi uso wangu![]()








sijui utaambia nini watuuuuuAcha tu nawazaga sana 🤣🤣🤣🤣🤣sijui utaambia nini watuuuuu
Kwa hiyo unasali peke yako?Sababu ni nyingi ila nimegundua kanisa la sasa ni biashara kama zilivyo biashara zingine.
Bichwa Mokwee.! Lecturer hapa UDMabwaku!

Bichwa Mokwee aisee wangeona anachofanya jf sipati pichaWatakuwa hawakujui huku jf unachokifanya wallahi!!
Mimi nawazaga hivi ikitokea siku mtu wangu wa karibu kashika simu yangu kaingia jf sijui nitaweka wapi uso wangu![]()


eti anasema mbona mnatukanana mnatudindisha bhanaHahahahah utajibebaaaaaaAcha tu nawazaga sana
Sijui baba paroko atanichukuliaje?!!
Halafu Kiranga unaonekana ulikuwa church boy mno wewe.Kanisa siku zote limekuwa ni biashara ya kuuziwa Mungu ambaye hayupo.
Ila, kadiri siku zinavyozidi ndivyo uroho wa waongoza kanisa unavyozidi, na macho ya waumini yanavyozidi kufunguka, ndiyo maana unaona kanisa la sasa ni biashara.
Bichwa Mokwee aisee wangeona anachofanya jf sipati pichaeti anasema mbona mnatukanana mnatudindisha bhana



Watoto ndo watamu wizoNa unakuta anaowaambia hayo maneno ni watoto wake![]()




Na unakuta anaowaambia hayo maneno ni watoto wake![]()


unakuta huyu ni DED manispaa fulani na ni mzee wa kanisa kabisa




Mtego kivipi?Kule kusema amen amen kila kila wakisoma andiko kulinishinda!
Utitiri wa michango sijalipa huu Kuna huu mingine hata naisahau
Pale usharikani ukiwa unaenda ibada zote wanakupa kitengounakua manamba wa kanisa, ukishapewa kitengo ni mtego huo


ila nawe si unafaidika kwa viposho au?