mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,750
- 7,850
- Thread starter
- #501
Duh watoto tenaWatoto ndo watamu wizo![]()

Duh watoto tenaWatoto ndo watamu wizo![]()

unakuta huyu ni DED manispaa fulani na ni mzee wa kanisa kabisa
![]()



unakuta huyu ni DED manispaa fulani na ni mzee wa kanisa kabisa
![]()











Lekchara kama LekcharaNgoja nikutimbie ofisini kwako one day![]()






Hahahah ila Bichwa Komwee nina wish kumuona sanaKabisaa humu na hizi fake I’d chchote mtu ana comment, kazi ipo kwako mpokeaji ufwe au uzidi kupata sonona![]()

watoto wenye umri wa miaka 18 kwenda juu hao ndo watamuuu sanaaaaDuh watoto tena![]()
ili unitie makonzi komwe languHahahah ila Bichwa Komwee nina wish kumuona sana![]()
Hao si ni mashangazi sasawatoto wenye umri wa miaka 18 kwenda juu hao ndo watamuuu sanaaaa

Aiseeili unitie makonzi komwe langu
wewe brother bhana... hivi sijui ulifikiria nini ukawaita vijana mburulaz



Hahahah ila Bichwa Komwee nina wish kumuona sana![]()



mashangazi wanaanzia miaka 45Hao si ni mashangazi sasa![]()
WotrreeeeeeeeeeeeUtawaona wangapi sasa amadi?!!![]()
Mkuu hebu jazia nyama vizuri hapa, mbona kama unaficha Madini?mimiamadiwenani niliacha kuamini mungu yupo baada ya kuona video fulani kisha kufanya utafiti wangu.... kiukweli niseme tu, naona maisha yangu yamekua bora zaidi sasa ambavyo siamini kwenye mambo ya mbinguni na kuzimu
dah mkuu ni stori ndefu sanaMkuu hebu jazia nyama vizuri hapa, mbona kama unaficha Madini?
Mshamba hachekwi ila Yesu unamuamini?dah mkuu ni stori ndefu sana
Simple tuMungu alishindwa kuumba ulimwengu usio na shida na dhambi?
Umeusoma na kuelewa huo mchoro wa Epicurean Paradox?
Umesoma hiyo part ya "The Problem of Evil" kutoka hicho kitabu cha "Philosophy of Religion:An Anthology" nilichokiweka hapa?
simuamini, siamini kwenye miungu mkuuMshamba hachekwi ila Yesu unamuamini?
Hujaelewa swali, hujaelewa swali, hujaelewa swali. Na hivyo umeshindwa kulijibu.Simple tu
Kaumba Shida Na Dhambi Ili Ajue Nani Ni Mbora Kati Yetu,Kabainisha Njia Zote Mbili Kisha Katuacha tuwe Huru, Mwenye Akili ataacha dhambi Aliyekengeuka Atazifata
Just simple tu Hata Mtoto wa Kindergarten anaelewa.
Super chargedSimple tu
Kaumba Shida Na Dhambi Ili Ajue Nani Ni Mbora Kati Yetu,Kabainisha Njia Zote Mbili Kisha Katuacha tuwe Huru, Mwenye Akili ataacha dhambi Aliyekengeuka Atazifata
Just simple tu Hata Mtoto wa Kindergarten anaelewa.
I've got you!simuamini, siamini kwenye miungu mkuu