Mjanja mjanja sana wewe... najua hutokuja wewekwanza kesho nipo busy
![]()




nilikuja haukuwepoooYou sound like you are furious or in pain, why?Straight to ignore list.
Kutoka hapa sitaona chochote unachopost.
What about now?shetani alinikamata vibaya kwenye suala la nyapu
Pole sana GentamycineNimeacha kwenda Kanisani baada ya Kukubali Shetani aupige mwingi Moyoni mwangu, Rohoni Kwangu na kumruhusu Kipumbavu kabisa atawale Akili na Hisia zangu.
Hata hivyo taratibu sasa naqnza kujiondoa Kwake ( Shetani ) na Siku si nyingi nitarejea katika Himaya ya Mungu wa Ibrahim, Isaka na Yakobo ili niweze Kumtumikia na kuenenda vile atakavyo na GENTAMYCINE kuwa Mcha Mungu niliyetukuka.
Ewe Mwenyezi Mungu nisaidie sana.
Ni kweli. Sababu ya kipuuzi kabisa...ETI NILIACHA KWENDA KANISANI KISA WANATAKA SADAKA UNAAKILI KWELI WEWE
MIWATU MIJINGA KWENYE HUU UZI SIJAPATA KUONA.
Sent from my A37fw using JamiiForums mobile app
Kivipi?Za kuambiwa changanya na za kwako...
Sasa unatafuta ugomvi kwa watuBaada ya kuambiwa nitoe sadaka ya kujimaliza



Okay hongera sanaMimi sijaacha kwenda kanisani na sitaacha kwenda.
S
HahahahaMchungaji aliisifia serikali wakati mimi hali yangu ngumuuuu.
Uanze tunilikuja haukuwepooo

Je mtu akikuambia Siri zako zote ulizozificha, utahisi nini? Na humfahamu na hakufahamu.simuamini, siamini kwenye miungu mkuu
nitaokoka...Je mtu akikuambia Siri zako zote ulizozificha, utahisi nini? Na humfahamu na hakufahamu.
Haaa! Kwamba unadumbukiza kwenye kibubu!walibadilisha kikapu Cha sadaka ikawa siwez kuchukua chenji
Nje ya uchungaji nae ni binadamu mwenye tamaa kama wewe na mimiKusema kweli mchungaji wangu alifumaniwa na MKE wa mtu, kuanzia hapo nikaona kwenda kanisani ni kupoteza muda tu na kuliwa sadaka zangu