Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,812
- 6,439
Mchungaji alimwomba demu demu wangu mzigo. Alipogoma, siku moja akamtuma nyumbani kwake. Alipoingia, mchungaji nae akawa nyuma anafunga mlango. Kwa bahati mbaya alikuwa kisago na mZigo hakupewaHuwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).
Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.
Nini sababu yako?

