Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).

Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.

Nini sababu yako?
Mchungaji alimwomba demu demu wangu mzigo. Alipogoma, siku moja akamtuma nyumbani kwake. Alipoingia, mchungaji nae akawa nyuma anafunga mlango. Kwa bahati mbaya alikuwa kisago na mZigo hakupewa
 
Kwamba umeshajitosheleza kiroho kiasi kwamba huhitaji tena kwenda ibadani..?? Au unaamini kwenda kanisani ni kwenda tu kulitazama lile jengo, kuvaa smart kutoa sadaka na kurudi nyumbani.??
Kma biblia inakuambia malaika Ni weupe , nyeupe Ni njema dhambi ztafutwa na kuwa nyeupe kwa nn zisfutwe na kuwa nyeusi Mara Nuru Ni njema . Alafu mm Ni mweusi African kwa nn niamni maandko yaliyoletwa na wazungu kma kitangulizi Cha ukoloni??????
 
Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
Unadhani Mungu alikuwa mjinga kuwapa watu utashi wa kupima na kuchuja mema na mabaya?.Nani aliyekujaza fikra kwamba kwenda kanisani ndiyo kwenda mbinguni?.Hata hivyo kila muasisi wa kanisa ana ajenda zake za siri.
 
Aisee.Tulimpa dada yetu jukumu la kufatilia mirathi ya baba,bahati mbaya mirathi ikatoka tukiwa mbali kikazi,sister akachukua million 5 akapeleka kanisani km fungu la kumi. Aisee tulimmaind lkn haikusaidia kitu
Toka hapo mimi church kwa heri ilikuwa 2012 sijawah kanyaga

Sent from my SM-G531H using JamiiForums mobile app
Maana yake mlipata mil 50 lakini alikosea angesubiri mpaka apate mgao wake ndo angeenda kutoa zaka...hapo alikosea. Lakini hii isikufanye kuacha kwenda kanisani...Mungu amekupa vingi vinavyozidi hiyo Mil5
 
Ibada inafanyika kokote penye utulivu... sadaka iliyo kamili ni ile unayo itoa kwa moyo...ata ukimtumia mdogo wako pocket money shule kwa moyo basi ni sadaka sio lazima kujengea mapadri ma castle while kwenu mnakula ugali na chumvi uo kingreza inaitwa

Burden
Nafsi yako ndio kanisa lako, toa kwa wajane na yatima, ni sadaka tukufu.
Soma neno la Mungu na uliishi, ni mahubiri tosha.
 
Mimi niliacha sababu ya sadaka
Sadaka ilikua ni Kama lazima vile alafu pale kanisani wanaanzia mstari wa mbele unatia alafu unazunguka njia ingine unarudii kukaa ukitokea nyuma Sasa mstari wako ukifika wote wanakuona usipokua nayo wote wanajua hujtoa yani

Ingine muda wa kuombea sadaka Yule mchungaji alikua mpuuzi anaomba eti uwabariki walitoa hapo nikaona Sina changu sadaka ilikua na umuhimu mkubwa kuliko matatizo ya watu
 
Ibada sahihi kwa mwafrika ni tambiko hizo nyingine ni biashara za watu
 
Sadaka halali kwa Mungu ni kuchicha mle wote sio kumpelekea mchungaji hela
 
Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).

Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.

Nini sababu yako?
Siku Papa Francis alipotangaza mashoga wanakubalika kwenye kanisa wakati Biblia inapinga kabisa ushoga, nikajua hizi ndizo dini bandia tunazosoma kwnye Biblia, wale wanaosemwa na Yesu sikuwajua ninyi kamwe!
 
Nawaza jinsi gani nitafunga ndoa bila kuingia kanisani, kama ni lazima basi ni hicho tu kitanirejesha huko... japo nitawekewa vikwazo kama vyote!
Hamna vikwazo, pochi lako tu ulipie sadaka ulizokosa kulipa huko nyuma halafu unatakatishwa kufungia ndoa kanisani! Hapendwi mtu, pesa yake tu!
 
Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Huku hakuna tofauti na lile jimbo la kina ugonile asee michango kila jumapili yani jimbo hovyo kabisa,alafu kauli wamazotumia ni ovyo san adi ibada inapoteza radha michango isiyokua na mpangilio na wizi eti kupaka rangi kaua kadogo ka zabibu laki tatu na ushee😂😂😂
 
Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!

Kwenda kanisani sio kwenda mbinguni ibada inaweza fanyia mahala popote ongea na mungu wako toa sadaka kwa namba yoyote

Hivi Unajua unanda kanisani kwa sababu gani au na wewe hujui ?
 
Hamna vikwazo, poch lako tu ulipie sadaka ulizokosa kulipa huko nyuma halafu unatakatishwa kufungia ndoa kanisani! Hapendwi mtu, pesa yake tu!



Basi huu ni ushahidi mwingine na sababu ya kutokuhudhuria kanisani, Pesa!!
 
Huwa kuna sababu mbalimbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya Jumamosi au Jumapili (kutokana na dhehebu).

Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.

Nini sababu yako?
ngoja tuuulize Zero IQ kwanini aliacha kwenda Jumuiya?
Hebu njoo we mkuu wa mabaharia wa uchakataji
 


Basi huu ni ushahidi mwingine na sababu ya kutokuhudhuria kanisani, Pesa!!
Hahaha! Yaani hadi leo ulikuwa hujaelewa? Tena ukitoa pochi kubwa utatangazwa na utawekewa kiti chako rasmi mbele, special for you, usipokuja kanisani hakikaliwi!
 
VIWAWA, KAPU LA MAMA, KAPU LA PAROKO, KAPU LA MAKATEKISTA, KAPU LA MASISTA, KAPU LA REDIO MARIA, UJENZI WA KANISA, SADAKA, SHUKURANI, KUMSHIKA MKONO BABA PAROKO, KAPU LA BABA ASKOFU, alafu wao tunavyolalamika maisha magumu mambo hayaendi wao wamekalia kusifia na kujipendekeza kwa Mzee wa Chato
moshi wa mwenge wa uhuru km mtu aliwahi kuukodolea macho hataacha kuona mauzauza. Uhuru wenyewe htn
 
Back
Top Bottom