Risk manager
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 8,807
- 17,359
Kwani kabla ya hizi dini hazijaja watu walikuwa hawaoani na kufunga ndoa ama mpaka Uende kizungu ndo ujione Uko sawa.Nawaza jinsi gani nitafunga ndoa bila kuingia kanisani, kama ni lazima basi ni hicho tu kitanirejesha huko... japo nitawekewa vikwazo kama vyote!
Assume hakuna wazungu waliokuja afrika.

