Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
Wewe tuwakilishe mkuu usiwe na wasi wasi peponi unaingia bila hodi
 
Michango

Michango

Michango

Ishu ya michango inanikera sana na ndiyo imenikimbiza mazima.
Bora nipambane na Mungu wangu kivingine.
Unakuta wakati wa ibada wanaanza harambee na kuanza michango kwa kutaja watu tena ukivaa vizuri labda siku hiyo umebahatisha kasuti kako ndio unaanza kumbiwa utoe kulingana na suti yako mara wapambe wanakuja kukupepea
 
Toka Mchungaji aliposema sadaka nikuanzia buku kwenda mbele et Mungu hapokei vichenji chenji vyenu, baada ya watu kutoa izo noti ndo anasema haya nanyie wenye izo mia mbili mbili mnaweza kutoa sasa , aseee sikusubili ibada iishe nilisepa pale pale. Nasalia geto tuu naimani Mungu ananisaidia, nikiwanacho nawapa omba omba barabarani.
 
Niliopoona kiongozi ana2mia kitabu kitakatifu kuapa uku anajuwa yakuwa kaingia madalakani kwa kula za wizi mauaji ya rahia wake ili yeye ashinde..na bado icho kitabu kinashindwa kuukata unafiki na vongozi wa dini wapo wanafulaia to..aahh mi siendi tena kanisani..
 
Ulitaka uhubiriwe nini mtoa mada? Hayo unayotaka kuhubiriwa una uhakika utayafuata? Ukiambiwa mpende jirani yako kama nafsi yako utafanya hivyo? Ukiambiwa uache wivu, masengenyo, uzinzi n.k utaacha?

Sisi waislamu tunaitwa umma bora kwasababu ya kukatazana mabaya na kuamrisha mema. Kumbe huko hamfanyi hivyo sababu tu watu hawataacha mabaya na kutenda mema?
 
Sisi waislamu tunaitwa umma bora kwasababu ya kukatazana mabaya na kuamrisha mema. Kumbe huko hamfanyi hivyo sababu tu watu hawataacha mabaya na kutenda mema?
Mimi sio mhubiri mkuu, ila umesema kweli mahubiri ya kiislamu yanasisimua sana....muda wote mnafundishana na kuonyana kuhusu kumpendeza Mungu ila sisi huku daah ni mwendo wa kuelezana baraka tu za mwilini, utasikia kununua magari, kujenga kupata kazi. Yaani siku hizi ukisikiliza mahubiri ya kikristo ni kama vile unasikiliza warsha au semina ya wajasiriamali...kinachoongezeka ni kuwa tu huku anatajwa Mungu
 
Sisi waislamu tunaitwa umma bora kwasababu ya kukatazana mabaya na kuamrisha mema. Kumbe huko hamfanyi hivyo sababu tu watu hawataacha mabaya na kutenda mema?
Hivi shehe wa mkoa wa daslam ni dini gani vile
 
Ninyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
Mi siwez acha aisee hata iwaje.
 
Nilivyogundua hakuna mungu nilianza kulidharau sana kanisa na dini zote kwa ujumla.
 
Makanisa ni magenge ya utapeli tu.

Magenge ya kueneza chuki na kuwanyonya watu. Kuwatawala na kuwaharibu akili.
 
Niliacha kwenda kanisani sababu ya kuyaheshimu masanamu tuliyoyatengeneza, hasa kipindi cha ijumaa kuu na Xmas. Nikaamua kuslimu, huko ndiko nilikokutana na dini ya kweli ya Mwenyezi Mungu na mtume wake
 
Back
Top Bottom