sawima
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 5,646
- 8,736
Mwali, hivi ukiwahi kubahatika kutazama kile kipande cha movie alio ifanya askofu Rashid..??




Aisee
Mwali, hivi ukiwahi kubahatika kutazama kile kipande cha movie alio ifanya askofu Rashid..??




Hata mimi kweli sijaacha kwenda church, ingawa askofu Rashid aliperform kwenye lile zoezi mtambuka...😂😂Haha..
Mwalimu bwana, series ya Askofu Rashid nilifanikiwa kuitia machoni ila bado haikuwa sababu ya Mimi kutokwenda ibadani.
Ajabu na wewe huwenda hujaendaNinyi endeleeni tu kutokwenda kanisani kwa amani, hakuna anayewahukumu, japokuwa naamini hapa yenyewe nafsi zenu zinawasuta ndiyo maana mnajifanya kutafuta justification tu ya matendo yenu hamna lolote..!
@Khantwe hili si ndio lengo kuu la kuanzisha kanisa...linapaswa lipewe msisitizo zaidi kuliko mengine. Mambo muhimu hayazungumzwi ila ya sadaka yanazungumzwa tena kwa ukali.Ulitaka uhubiriwe nini mtoa mada? Hayo unayotaka kuhubiriwa una uhakika utayafuata? Ukiambiwa mpende jirani yako kama nafsi yako utafanya hivyo? Ukiambiwa uache wivu, masengenyo, uzinzi n.k utaacha?
Kwa nini unadhani hajaenda? Hata kama hajaenda leo ila hajaachaAjabu na wewe huwenda hujaenda
Sasa unataka uhubiriwe mambo ambayo tayari unayajua?@Khantwe hili si ndio lengo kuu la kuanzisha kanisa...linapaswa lipewe msisitizo zaidi kuliko mengine. Mambo muhimu hayazungumzwi ila ya sadaka yanazungumzwa tena kwa ukali.
Ndiyo, Leo sijaenda kwa sababu iliyo nje ya uwezo wangu na hapa nipo nasikiliza mahubiri,Ajabu na wewe huwenda hujaenda
Unaweza ukaenda kanisani Kama mhudhuriaji tuu na sio mwendaji. Ila ukweli hajaendaa!Kwa nini unadhani hajaenda? Hata kama hajaenda leo ila hajaacha
Huyajui ndio maana unalialia hapaKwani mahubiri ya sadaka hatuyajui?,,Mbona yanaendelea kuhubiriwa?
Tushirikishane basi hayo mahubiriiNdiyo, Leo sijaenda kwa sababu iliyo nje ya uwezo wangu na hapa nipo nasikiliza mahubiri,
Kanisa linajengwa na wewe, mimi na yule........Dahhhh.....
Ila kwetu michango imezidi mnoooo.....
1. Zaka
2.Sadaka
3. Mavuno
4. Utoto mtakatifu
5. Ujenzi wa nyumba ya Paroko
6. Ukarabati wa kanisa
7. Mfuko wa parokia
8. Wageni wa kanisa
9. Viti vya jumuiya
Kwa hiyo ili uwe mwendaji unatakiwa uwejeUnaweza ukaenda kanisani Kama mhudhuriaji tuu na sio mwendaji. Ila ukweli hajaendaa!
Sawa mkuuKanisa linajengwa na wewe, mimi na yule........
Usichoke kutolea...
Huyajui ndio maana unalialia hapa



,,, "Zaka na sadaka ni mali ya bwana"....au ule unaosema "Leteni zaka kamili ghalani ili kiwepo chakula cha kutosha nyumbani kwa Bwana"....hii mistari imetumika mara nyingi mpaka siwezi kuisahau ile ule wa "Mpende jirani yako.... " ndio umenikumbusha leo.Kwani zamani waliwezaje kuyamudu yote hayo kwa Zaka na Sadaka pekee..??Msipolijenga kanisa nani atalijenga ? Michango yote hiyo ni kwa ajili ya kuendesha shughuli za kanisa
Huwa kuna sababu mbali mbali ambazo humfanya mtu kutokupenda kuhudhuria ibada siku ya jumamosi au jumapili (kutokana na dhehebu)..😣😔Sababu kubwa iliyo nikera" viongozi wa dini kuktwa na mashtaka pamoja na recodi za kulawiti watoto 😫😫Kama sikosei ili kuwa 2007. Pia nakumbka nilikuw na rafiki yngu ambaye amebatizwa na Kila cku ya ibada alikuwa mbele ya madhabahu akisaidiana na wenzake mbele ya padri kuongoza misa kumbe msela ni mzinifu mkubwa alikuwa na mahusiano ya kimapenz na sister hapo church 😡🚶🚶.
Mimi sababu ilinifanya nisiwe nahudhuria kanisani ni pale mchungaji alipokuwa anahubiri kuhusu sadaka na matoleo tu kwa ibada tatu mfululizo.
Nini sababu yako?
Unatakiwa usiwe jinsi ulivyoKwa hiyo ili uwe mwendaji unatakiwa uweje