Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Kwanini uliacha kwenda kanisani?

Thank you

Kwanza ulitakiwa kujibu Amen

Naona kama tunaongea lugha moja now.

Kwenda kanisani kunatakiwa kuwe na maandalizi ya kimwili na kiroho. Watu hao wanaona wakienda kanisani watamiss maandalizi ya kiroho na mwisho wa siku wanakua wamefanya kazi bure.

Ndo maana wanaona watumie muda huo kusali nyumbani au kwenye jumuiya.

Asante
Oooow' sorry,
A huge Amen to that...!!

Mimi na wewe hapa tunaelewana vizuri kabisa kuwa kwenda ibadani ni suala la kujiandaa kimwili na kiroho, I second you on this..!!

Ila ninachopingana na wadau hapa ni suala la 'kuacha kabisa', siyo kwamba hawaendi this Sunday sababu hawajajiandaa hell nuh'.. Differentiate the two, ni kuwa wao na kanisa ni mbingu na ardhi, na wanataka kulifanyia justification hilo kuwa wapo sahihi..!

Bado kusali nyumbani ama kwa jumuiya haileti uzito kama wa kuhudhuria ibada Bio...!!
 
Oooow' sorry,
A huge Amen to that...!!

Mimi na wewe hapa tunaelewana vizuri kabisa kuwa kwenda ibadani ni suala la kujiandaa kimwili na kiroho, I second you on this..!!

Ila ninachopingana na wadau hapa ni suala la 'kuacha kabisa', siyo kwamba hawaendi this Sunday sababu hawajajiandaa hell nuh'.. Differentiate the two, ni kuwa wao na kanisa ni mbingu na ardhi, na wanataka kulifanyia justification hilo kuwa wapo sahihi..!

Bado kusali nyumbani ama kwa jumuiya haileti uzito kama wa kuhudhuria ibada Bio...!!
Kwânza kibiblia ibada sio mpâka kanisani...na sio lazima kwenda kanisani..ni kautaratibu tu ka wataka sadaka ndo wametukaririsha hvo lazma mtu aende kanisan wakati kanisa sio jengo
 
Wakati fulani nilikua nahudhuria kanisani kila siku utokayo kwa Mungu , lakini nilipokuja kugundua Yesu ni zaidi ya kwenda kanisani. Tokea siku hio KWAKE YESU NASIMAMA NDIE MWAMBA NI SALAMA!
 
Oooow' sorry,
A huge Amen to that...!!

Mimi na wewe hapa tunaelewana vizuri kabisa kuwa kwenda ibadani ni suala la kujiandaa kimwili na kiroho, I second you on this..!!

Ila ninachopingana na wadau hapa ni suala la 'kuacha kabisa', siyo kwamba hawaendi this Sunday sababu hawajajiandaa hell nuh'.. Differentiate the two, ni kuwa wao na kanisa ni mbingu na ardhi, na wanataka kulifanyia justification hilo kuwa wapo sahihi..!

Bado kusali nyumbani ama kwa jumuiya haileti uzito kama wa kuhudhuria ibada Bio...!!
In one way or another it means wamekosa imani na wachungaji au mapadri wanaowangoza.

Nachoweza kuwashauri wanatakiwa watafute madhehebu mengine ili wakafanye ibada na kutoa zaka (Fungu la Kumi) kama biblia inavyosema.

Now I get you
 
Kanisan niliacha ktambo hata kabla michango haijawa rukuki kama Leo,kilichonifanya kuacha,ilikuwa nikienda kanisan nakuwa nafikiri vitu vingine vya nje hata kusikiliza mahubiri nilikuwa siwez,ila huwa napanga nikiwa na familia itanibid nirudi ili watoto wangu wawe na hofu ya mungu
 
Kwânza kibiblia ibada sio mpâka kanisani...na sio lazima kwenda kanisani..ni kautaratibu tu ka wataka sadaka ndo wametukaririsha hvo lazma mtu aende kanisan wakati kanisa sio jengo
Uko vizuri watakao bisha wasome kitabu cha matendo ya mitume,
 
Tangu 2013 niliacha kwenda kanisan na kutenda matendo mema badala yake nikaanza kulewa na uovu mwingi.
Kisa Cha kuacha Ni pale nilipohisi Mungu yupo ila anaupendeleo baada ya kukosa ajira na maendeleo niliyotegemea licha ya kumuomba Mingu Sana.
Kufikia 2019 nikarudi tena na kuhudhuria kanisan kila j2 na kusali Sana.
Nimejifunza mengi Sana, Mungu yupo kwa Sasa siwezi kumuacha tena, sijapata ninachohitaji lkn nakiona kipo njiani soon life will change completely even it will not change, I will still in his presence forever.!
 
Kwânza kibiblia ibada sio mpâka kanisani...na sio lazima kwenda kanisani..ni kautaratibu tu ka wataka sadaka ndo wametukaririsha hvo lazma mtu aende kanisan wakati kanisa sio jengo
Kama ni mkristo na bado unaiamini Biblia soma Waebrania 10;24-25 na Matendo 2;46-47 mistari mingine watakupa wajuvi!!
 
Back
Top Bottom