minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 21,640
- 20,366
CCM ndiyo Sumu ya maendeleo Tanzania kwani pesa nyingi ya walipa kodi hutumia kudhoofisha upinzani badala ya maendeleo, mfano sasa wanatumia TRA kufunga Account biashara kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara kienyeji kishamba kwa njia haramu za kishetani, CCM inadumaza maendeleo kwa watanzania wengi wamehamishia pesa zao kwenye mabenk ya kenya Uganda Zambia na kwingineko DunianiUnfortunately kuna kikundi cha watu haswa upinzani hua wanajiona wamepatia maisha na kuita wengine wajinga! wao wanadhan sku CCM itatoka CCM basi yaisha yao yataboreka, wapuuzi wa mwisho kabisa hawa!
Mtu anasema chanzo cha umaskini tanzania ni ccm kuwepo madarkani apo apo hajiamini kama anaweza kwenda kufanya kazi nje ya nchi yeye serikali ndo mwisho wa kilio chake, WTF!