Kipapatiro
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 1,129
- 1,497
Mawazo ya kijinga haya na uzi wa kijinga huu
Siyo sahihi - hata kama itakuwa sahihi basi huenda mkosoaji hatumii busara ktk kufikisha ujumbeKwanini Magufuli akikosolewa tu kidogo anakimbilia kubambikizia watu kesi za uchochezi???
Cha cha fujo tanzania“Akili ndogo kama ya kenge”- ulimpimia wapi hizo akili na Kwa kutumia kip IMO gani au ni maoni yako...
Unaposema, “ nyie pia ni wezi wa kura”- maana yake kuiba ni sawa au una maana gani mkuu?
Haiwezi kutokea kamweKwa nn ukimsifia Tundu Lissu maccm yananuna kutwa nzima hadi ndoa zao zinavunjika kwa hasira?
Ninyi Chadema mnavyojipendekeza kwa Lissu mnapata nini? Au ni basha wenu?Hahaha CCM wajinga sana, hivi ukijipendekeza unapata nini hasa?!
Maridhiano ya Zanzibar ni Katiba yao inaruhusu kufanya hivyo lakini ingekuwa sheria hiyo inatumika kwetu yeye kama yeye na ngenge lake la akina ndugai wangetupilia mbali maana wao wenyewe ndiyo sheria kuliko sheria zilizotungwa na Bunge kabla ya utawala wake.Siyo sahihi - hata kama itakuwa sahihi basi huenda mkosoaji hatumii busara ktk kufikisha ujumbe
Magufuli hupenda kushauriwa - ndiyo maana mmeona maridhiano Zanzibar
Sawa. Wewe mtunga sentensi ya Kiingereza soma maelezo haya hapa chini. Na ujipime kama unazo sifa za kuitwa ' mwelevu, mwenye hekima na busara ' mbele ya jamii.Wapumbavu huwa wanamsifia MPUMBAVU MWENZAO.
MTU HANA UWEZO WA KUTUNGA HATA SENTENSI MOJA YA KIINGEREZA ALAFU NIMSIFIE.
# umesahau namba yako ya simu
shame.