Kwanini ujinyonge kisa mwanamke? Kijana mwenzetu kajinyonga kisa "Mwanamke"

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,845
13,100
GREETINGS
Nawasalimia kutoka huku vichakani, huku ndani ndani kwenye ofisi yangu iliyo kijijini sanaa kwa kuwaambia ""TABULELE Raaaaaaaa""

Twende kwenye hoja.....

Hivi wewe kijana wa kiume mwenzangu kwanini uwekeze kwa mwanamke huku unajua kuwa ukipoteza huwezi vumilia hiyo hasara?

BODY:-
Mi mwenzako tokea nianze mambo ya biashara kijana mwenzangu nishawahi kupata hasara nyingi tu, ila hazikuniuma sanaa kwasababu nilijiandaa kupokea matokeo yoyote.
Huwa naamini ""The Business is Zero Sum Game (0:1)""

Kwamba nipate kitu 1 (Sum) au nipoteze 0 (Zero).
Hivyo huwa najiandaa kwa tarakimu yoyote ya code ya 0:1

Mfano tu; Nishawahi kuwekeza mil 2 nikapata laki 2 "in return" hii ni pamoja na mtaji, kwamba nilipata hasara ya muda na Mil 1.8.
Ila si nilikua najua the outcome (worst or best) sasa KWANINI NIJINYONGE?

SCENARIO
Topic:- Adaiwa kujiua kwa sumu kisa mkewe kudai talaka

KIJANA Nadhiri Kamala, Mkuu wa Idara ya Elimu na Wanafunzi Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii (SMAUJATA) Mkoa wa Mwanza, anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu baada ya anayedaiwa mkewe, Yasinta (jina la pili tunalo) kumtaka ampe talaka.

Inadaiwa kuwa Yasinta alidai talaka kwa kuwa hakuwa tayari kuwa naye tena kimapenzi.

Kwa mujibu wa ujumbe wa mwisho wa kijana huyo katika moja ya kundi sogozi la mtandao wa jamii wa WhatsAPP la SMAUJATA usiku wa Jumanne Oktoba 31 mwaka huu, indaiwa kuwa mkewe huyo aliyemtaja kwa jina hilo la Yasinta, alimpeleka kusoma Chuo cha Udaktari Sumbawanga, lakini kabla ya mwezi kuisha alimtaka waachane.

Credit:- NIPASHE

CONCLUSION
Kwani hamjui kwasasa mapenzi ni biashara?
Kama ilivyo biashara nyengine, ukiwekeza kwa mwanamke uwe unajua kabisa kuna "Zero Sum Game" kwenye mapenzi. Kuna kushinda au kushindwa, sasa kwanini ujinyonge?

Kama huwezi kukubali hasara basi piga mbunye halafu sepa, sio unaganda kama kumbikumbi wanavyogandana, halafu ukiachwa unajinyonga.

Njia pekee ya kukimbia hasara ya biashara fulani ni kutofanya biashara hiyo. Sasa huzitaki hasara za mapenzi, Kwanini uwekeze kwa huyo mwanamke?

Wanawake wenyewe tunawajua, ni mama zetu (hatuwasemi vibaya) ila dah ""Kuna majanga mengi""

1. Ukimruhusu akasome chuo akifika chuo atagongwa.
2. Ukiwanae mbali kisa ajira, akiwa huko kazini kwake atagongwa
3. Akiwa mama wa nyumbani, ukimuacha nyumbani uende kutafuta mkate wa familia huku nyuma anagongwa tena anagongewa ndani kwako.
4. Ukimpa mtaji akatafute bidhaa kijijini aje kuuzia kwenu mjini, huko safarini atagongwa

Sasa "Why bother your self na kujinyonga??""
Wakati mbunye wenzako wanazipiga mihuri tu. Na wewe piga muhuri sepaaaaa.

Kijana Kamala umenisikitisha sanaa na kunihuzunisha balaa. Yaani unajinyonga kisa nyapuu hii hii nyapuu ukishaimwagia bao moja ""Akili zinarudi...!!""

RIP Brother.

Anyway:-
YANGA BINGWA.

#YNWA
 
Kabla ya kujinyonga angeingia bafuni alipue kimoja huenda angebadili mawazo.
FB_IMG_16992103407124547.jpg
 
GREETINGS
Nawasalimia kutoka huku vichakani, huku ndani ndani kwenye ofisi yangu iliyo kijijini sanaa kwa kuwaambia ""TABULELE Raaaaaaaa""

Twende kwenye hoja.....

Hivi wewe kijana wa kiume mwenzangu kwanini uwekeze kwa mwanamke huku unajua kuwa ukipoteza huwezi vumilia hiyo hasara?

BODY:-
Mi mwenzako tokea nianze mambo ya biashara kijana mwenzangu nishawahi kupata hasara nyingi tu, ila hazikuniuma sanaa kwasababu nilijiandaa kupokea matokeo yoyote.
Huwa naamini ""The Business is Zero Sum Game (0:1)""

Kwamba nipate kitu 1 (Sum) au nipoteze 0 (Zero).
Hivyo huwa najiandaa kwa tarakimu yoyote ya code ya 0:1

Mfano tu; Nishawahi kuwekeza mil 2 nikapata laki 2 "in return" hii ni pamoja na mtaji, kwamba nilipata hasara ya muda na Mil 1.8.
Ila si nilikua najua the outcome (worst or best) sasa KWANINI NIJINYONGE?

SCENARIO
Topic:- Adaiwa kujiua kwa sumu kisa mkewe kudai talaka

KIJANA Nadhiri Kamala, Mkuu wa Idara ya Elimu na Wanafunzi Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii (SMAUJATA) Mkoa wa Mwanza, anadaiwa kujiua kwa kunywa sumu baada ya anayedaiwa mkewe, Yasinta (jina la pili tunalo) kumtaka ampe talaka.

Inadaiwa kuwa Yasinta alidai talaka kwa kuwa hakuwa tayari kuwa naye tena kimapenzi.

Kwa mujibu wa ujumbe wa mwisho wa kijana huyo katika moja ya kundi sogozi la mtandao wa jamii wa WhatsAPP la SMAUJATA usiku wa Jumanne Oktoba 31 mwaka huu, indaiwa kuwa mkewe huyo aliyemtaja kwa jina hilo la Yasinta, alimpeleka kusoma Chuo cha Udaktari Sumbawanga, lakini kabla ya mwezi kuisha alimtaka waachane.

Credit:- NIPASHE

CONCLUSION
Kwani hamjui kwasasa mapenzi ni biashara?
Kama ilivyo biashara nyengine, ukiwekeza kwa mwanamke uwe unajua kabisa kuna "Zero Sum Game" kwenye mapenzi. Kuna kushinda au kushindwa, sasa kwanini ujinyonge?

Kama huwezi kukubali hasara basi piga mbunye halafu sepa, sio unaganda kama kumbikumbi wanavyogandana, halafu ukiachwa unajinyonga.

Njia pekee ya kukimbia hasara ya biashara fulani ni kutofanya biashara hiyo. Sasa huzitaki hasara za mapenzi, Kwanini uwekeze kwa huyo mwanamke?

Wanawake wenyewe tunawajua, ni mama zetu (hatuwasemi vibaya) ila dah ""Kuna majanga mengi""

1. Ukimruhusu akasome chuo akifika chuo atagongwa.
2. Ukiwanae mbali kisa ajira, akiwa huko kazini kwake atagongwa
3. Akiwa mama wa nyumbani, ukimuacha nyumbani uende kutafuta mkate wa familia huku nyuma anagongwa tena anagongewa ndani kwako.
4. Ukimpa mtaji akatafute bidhaa kijijini aje kuuzia kwenu mjini, huko safarini atagongwa

Sasa "Why bother your self na kujinyonga??""
Wakati mbunye wenzako wanazipiga mihuri tu. Na wewe piga muhuri sepaaaaa.

Kijana Kamala umenisikitisha sanaa na kunihuzunisha balaa. Yaani unajinyonga kisa nyapuu hii hii nyapuu ukishaimwagia bao moja ""Akili zinarudi...!!""

RIP Brother.

Anyway:-
YANGA BINGWA.

#YNWA
Umeandika vizuri ila uzi wote umeharibu hapo ulipomalizia na mambo ya Yanga:rolleyes:...
 
Back
Top Bottom