johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,004
- 142,036
Kwani China ni rafiki ?!. China inanyonya mpaka mifupa . Waulize wa Zambia .Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lisu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wachina hawatunyonyi na kupora raslimali zetu?Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lisu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Na nyie lipeni deni la Robert Amsterdam!Mnajipendekeza kwa mchina
Lipeni kwanza "deni la URAFIKI"
Weka ushahidi bwashee!Kwani wachina hawatunyonyi na kupora raslimali zetu?
Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lisu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Nimekuelewa sana tu bwashee!China ni marafiki wa nchi!! Lema na Lissu wameenda kwa marafiki zao wao kama wao.
DEVELOPMENT HAS NO PARTY ,FIVE AGAIN ,PRESS TO CONTINUES,JOB CONTINUES...HERE JOB ONLY.
Kwahiyo Chadema siyo rafiki wa China?Binafsi najua hao wachina ni marafiki wa CCM, sio wa taifa.
Tatizo lenu huwa mnakaugonjwa cha kuchanganya CCM na taifa kitu ambacho sio sahihi.
Na nyie lipeni deni la Robert Amsterdam!
Hawakutaka kuchagua mkoloni ,mpya ila waliona ni heri ya mkoloni wa zamani.Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lissu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Kwa maoni yangu, nchi rafiki huwa zinaitwa 'wadau wa maendeleo' (development partners) na kwa Tanzania tangu enzi za Serikali ya Awamu ya Kwanza chini ya Mwalimu Julius Nyerere tulikuwa tunaitwa a non-aligned nation/country (taifa/nchi isiyofungamana na upande wowote). Ninashawishika kusema kwamba ingawa siku hizi hatusikii sana 'kutofungamana na upande wowote', lakini in practice bado tuko hivyo na kwa kuangalia tuna wanadau wa maendeleo nchi mbalimbali duniani. Kudhani China tu ndio marafi zetu as if tumeshatengeneza nchi ambazo ni maadui ni 'erroneous thinking'. Tanzania ni rafiki wa nchi zote ambazo tumefungua balozi katika nchi hizo na wao wamefungua balozi katika nchi yetu na hata kama kuna taifa/nchi hatujafungua ubalozi kwao au wao hawajafungua ubalozi kwetu bado si ushahidi wa kuwa nchi adui wetu. Hapa nimetaka nijadili tu dhana ya taifa/nchi rafiki au taifa/nchi mdau wa maendeleo. Mjadala wa 'Tundu Lissu na Godless Lema' na 'whether' huko walikoenda ndio maadui wetu, sitaki nijiingize kwenye sehemu hii ya mjadala. Nadhani kwa namna tunavyotumia 'derogative language' tujitafakari kama inatusaidia kuwa 'smart thinkers'. Mchango wangu huu umekuwa largely influenced na course niliyoifanya miaka ya huko nyuma ya 'good communication' na kuwa 'good communicator' na pia kanuni zake zinazoitwa kwa maneno mengine 'international etiquette'.Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lissu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Bwashe acha ushe.nzi sometime, kama wazungu ni adui zetu kwanini tuna balozi zao hapa nchini na sisi kuwa na ubalozi wetu ktk hizo nchi? Dk Slaa anafanya nini kwa maadui zetu? Kuponya Taifa?Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lissu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!
Wewe nafikiri bado unaota ndoto ya China ileeeee ya Mwenyekiti Mao Tse Tung,hii ya sasa ni ya wajanja wajanja kama hujui uliza kilichopwapata Zambia na Lusaka International Airport yao na na Angola.Kwanza nawatakia ninyi nyote Dominica yenye baraka.
China ni marafiki zetu kama taifa tangia tulipojinasua kwenye makucha kandamizi ya wakoloni waliotunyonya na kututesa sana huku wakipora rasilimali zetu.
Ndio nauliza kwanini Tundu Lissu na Godbless Lema wameomba hifadhi kwa adui zetu wakoloni badala ya kwenda kwa rafiki zetu China?
Maendeleo hayana vyama!