Kwanini Tanzania iendelee kununua ndege?

security guard

JF-Expert Member
Sep 27, 2011
799
603
Leo Jumatano Septemba 01, 2021 Gazeti la HABARI LEO limeachia Makala yangu kwenye ukurasa wake wa 12 mpaka 13 yenye kichwa cha habari "KWANINI NI MUHIMU TANZANIA IENDELEE KUNUNUA NDEGE?. Mjadala mzuri na mkubwa sana.

Ni hivi, katika juhudi za kufufua Shirika la ndege na kuimarisha sekta ya anga nchini, Serikali imenunua ndege mpya 11 na 9 kati ya hizo zimeshawasili nchini huku 2 zikitarajia kuwasili muda wowote. Baada ya ndege hizo 11, Serikali sasa imenunua ndege zingine mpya 5 ambazo zitawasili mwaka 2023.

Mjadala ni mkubwa kuhusu ununuzi wa ndege hizi, Je kuna haja ya nchi yetu kuendelea kununua ndege na kuimarisha sekta nzima ya usafiri wa anga? Gazeti la HABARI LEO linapatikana nchi nzima popote panapouzwa Magazeti, fika upate nakala yako halafu ukafaidi huu mjadala wangu. Hutajuta.

Bwanku M Bwanku.

IMG-20210901-WA0040.jpg
 
Huenda linatengenezwa tatizo ili lijetatuliwa baadaye...

Huenda lilitengenezwa tatizo zamani na sasa ndio linatatuliwa...

Jiandae tu kutoa ujiko kwa watengeneza matatizo
 
Huenda linatengenezwa tatizo ili lijetatuliwa baadaye...

Huenda lilitengenezwa tatizo zamani na sasa ndio linatatuliwa...

Jiandae tu kutoa ujiko kwa watengeneza matatizo
Wakati kamati ya Bunge ikipatwa na mshangao wa deni la 482Bn kutokana na hasara za zitokanazo na uendeshaji wa ATCL, duh!

Wakati shirika limepewa jina la upako na wadau, yaani "acronym" yake ikibeba maana ya "Any Time Cancellation & Liabilities" kutokana na ufanisi wake hasi. Bado busara inawatuma viongozi kuzidi kununua midege mipya!?
 
Leo Jumatano Septemba 01, 2021 Gazeti la HABARI LEO limeachia Makala yangu kwenye ukurasa wake wa 12 mpaka 13 yenye kichwa cha habari "KWANINI NI MUHIMU TANZANIA IENDELEE KUNUNUA NDEGE?. Mjadala mzuri na mkubwa sana.

Ni hivi, katika juhudi za kufufua Shirika la ndege na kuimarisha sekta ya anga nchini, Serikali imenunua ndege mpya 11 na 9 kati ya hizo zimeshawasili nchini huku 2 zikitarajia kuwasili muda wowote. Baada ya ndege hizo 11, Serikali sasa imenunua ndege zingine mpya 5 ambazo zitawasili mwaka 2023.

Mjadala ni mkubwa kuhusu ununuzi wa ndege hizi, Je kuna haja ya nchi yetu kuendelea kununua ndege na kuimarisha sekta nzima ya usafiri wa anga? Gazeti la HABARI LEO linapatikana nchi nzima popote panapouzwa Magazeti, fika upate nakala yako halafu ukafaidi huu mjadala wangu. Hutajuta.

Bwanku M Bwanku.

View attachment 1919987
Manunuzi yawarahisishia kukwapua hela
 
Mikataba chechefu na mibovu, wahawakusoma mstari kwa mstari,neno kwa neno, kukosa uzoefu wa kufunga mikataba ktk sekta ya anga, uvivu wa kusoma na kiburi cha kuonesha ufahari kuwa nchi ni tajiri.

Kifupi serikali ya awamu ya 6 imerithi mikataba mibovu toka kwa awamu ya 5 ya mwendazake . Wakiamua kuvunja mkataba basi sakata kama la yule mkulima kuidai serikali ya Tanzania kupitia mahakama za kimataifa litaibuka hivyo wanaficha aibu.

Watengenezaji ndege wao wanaendelea kuunda ndege kama walivyokubaliana kimkataba na mwendazake, hivyo hakuna namna ya kujinasua zaidi ya kuendelea kulipia cash na kuzichukua kama mkataba unavyosema, kinyume na hilo ni kukabiliwa na kesi ya madai.

According to The East African, the seizure of the Air Tanzania jet was carried out after Hermanus Steyn, a Namibian born farmer, claimed he was owed millions by the Tanzanian Government
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Leo Jumatano Septemba 01, 2021 Gazeti la HABARI LEO limeachia Makala yangu kwenye ukurasa wake wa 12 mpaka 13 yenye kichwa cha habari "KWANINI NI MUHIMU TANZANIA IENDELEE KUNUNUA NDEGE?. Mjadala mzuri na mkubwa sana.

Ni hivi, katika juhudi za kufufua Shirika la ndege na kuimarisha sekta ya anga nchini, Serikali imenunua ndege mpya 11 na 9 kati ya hizo zimeshawasili nchini huku 2 zikitarajia kuwasili muda wowote. Baada ya ndege hizo 11, Serikali sasa imenunua ndege zingine mpya 5 ambazo zitawasili mwaka 2023.

Mjadala ni mkubwa kuhusu ununuzi wa ndege hizi, Je kuna haja ya nchi yetu kuendelea kununua ndege na kuimarisha sekta nzima ya usafiri wa anga? Gazeti la HABARI LEO linapatikana nchi nzima popote panapouzwa Magazeti, fika upate nakala yako halafu ukafaidi huu mjadala wangu. Hutajuta.

Bwanku M Bwanku.

View attachment 1919987
Si wanasema eti 'legacy'...
Upumbavu mtupu...
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Kwenye manunuzi meng yanayohusisha Cash ndo watu hula percent zao hapo, so wapgaj kama ilivyokua kwa Mareham watalazmisha wanunue cash
 
Back
Top Bottom