Nomadiq
JF-Expert Member
- Jan 5, 2025
- 8,552
- 22,842
- Thread starter
- #41
-Huduma bora za maji,umeme,afya. Je wananchi wanaridhika nazo?Ni kigezo gani au ni kipimo gani kimetumika kubainisha uwepo wa hiyo Furaha?
-Utawala. Wananchi wanaukubali kwa kiasi gani?
-Mazingira na hewa safi.
-Usawa wa kibinadamu na kijinsia na nyinginezo...
