Tafuta pesa itakusaidia kufurahia maisha yako na familia yenu.Natumaini ni kwema wakuu.
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).
Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi nchi ya majonzi,huzuni, na masononeko!
hiyo hali imeshazoeleka, kuna generation ya vijana wa Somalia, hawajawahi kuona serikali, ila wansimuliwa unyama waliokuwa wakifanya na serikali ya Gen. S. Barre na seikali zingineNi kweli mkuu anarchy inaweza kuchangia uhuru na kuwa na furaha ila kwa hasara ya kumwaga damu sana.
Ni habari njema kama unafuraha mkuu.Hao ni waongo Tz hatuwezi kuzidiwa na Somalia aisee
Angalia weekend watu wanavyojinafasi, Somalia hii huipati
Tanzania ukitaka kupata furaha achana na mambo ya siasa
Mimi nina furaha kwa kweli
Mkuu nielezee maana ya Furaha naona unanichanganyaNi habari njema kama unafuraha mkuu.
Hizo za weekend ni raha/starehe.
"...Kumbe kuna tofauti kati ya raha na furaha, hii dunia ina mambo, do you know that"
Hawa WHR wamefanya utafika kwa mwaka mzima sio weekend.
Wakitoka tu lazima tuhakikishe wanasambalatika haiwezekani nchi ina almost kila raslimali but, why watu wakose furaha? Kama sio utawala mbovu itakuwa nini shida?!!!😡😡😠😈Tutaitoaje jina lenyewe tu Chama cha mapinduzi, je wakitupindua!
Navyoelewa mimi furaha ni kuwa na hali ya amani,kuridhika na msawaziko wa kihisia(huna huzuni,mawazo,chuki) pale unapopata mambo unayoyataka mfano, kama unataka afya njema,chakula bora,malazi, elimu bora,usafiri, mahusiano bora halafu ukavipata unakuwa na furaha.Mkuu nielezee maana ya Furaha naona unanichanganya
Chanzo cha haya yote ni Lumumba,na kwa Hilo ccm hili linawahusu wanapenda ,watu kila wakijaribu jambo wanapiiga Pini,wavuvi wanalia,wakulima wanalia,,madini wanalia.Natumaini ni kwema wakuu.
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).
Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi nchi ya majonzi,huzuni, na masononeko!
Mkuu badili hiyo profile weka ile ya mwanzo ndo kali, alafu tuendelee na madaNatumaini ni kwema wakuu.
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).
Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi nchi ya majonzi,huzuni, na masononeko!
Mkuu kwa muktadha huu amini kwamba Somalia hawatuzidi hata moja kati ya hayo uliyoyatajaNavyoelewa mimi furaha ni kuwa na hali ya amani,kuridhika na msawaziko wa kihisia(huna huzuni,mawazo,chuki) pale unapopata mambo unayoyataka mfano, kama unataka afya njema,chakula bora,malazi, elimu bora,usafiri, mahusiano bora halafu ukavipata unakuwa na furaha.
Ccm ing'olewe meno.Nini kifanyike kubadili hii hali?
Nadhani uchumi unachangia sana kuwa na furaha, mifumo kandamizi imeweka gap kubwa kati ya tabaka la chini na wenye vipato vikubwa, kuna unyonyaji mkubwa na hii inachangia watu kukosa furaha, elimu ni duni,huduma za afya ni za shida, maji umeme ndio kabisaaa na wanaoumia ni maskini, uchumi ukiimarishwa furaha huenda ikarejea.Uhuru wa kweli kifikra unahitajika.
Japo kwa Africa uhuru hubomoa kuliko kujenga. Ona kenya wanavyouana kisa uhuru kifikra.
Ona somalia. Na nchi zote hizi zimetuzid ktk hizi ranks husika.
Ni kigezo gani au ni kipimo gani kimetumika kubainisha uwepo wa hiyo Furaha?Natumaini ni kwema wakuu.
Kwa mujibu wa ripoti mpya ya orodha ya nchi zenye furaha duniani, Tanzania(136) tumepitwa mpaka na Somalia(122).
Imesikitisha sana hii habari ni kana kwamba naishi nchi ya majonzi,huzuni, na masononeko!
Ni kweli hata mimi imenishangaza sana kwamba somalia imetuzidi, hapa nadhani ni kuchanganya na zetu tu!Mkuu kwa muktadha huu amini kwamba Somalia hawatuzidi hata moja kati ya hayo uliyoyataja
Takwimu nyingine huwa ni za uongo tu wanabuni buni tu
Akili za kuambiwa changanya na zako
Ukitumia kogezo Cha uchumi hutakosa validity kwenye hoja husika mkuu. ...Nadhani uchumi unachangia sana kuwa na furaha, mifumo kandamizi imeweka gap kubwa kati ya tabaka la chini na wenye vipato vikubwa, kuna unyonyaji mkubwa na hii inachangia watu kukosa furaha, elimu ni duni,huduma za afya ni za shida, maji umeme ndio kabisaaa na wanaoumia ni maskini, uchumi ukiimarishwa furaha huenda ikarejea.
Ndio maana kina Luxembourg,Switzerland,USA na Finland wanafuraha sana kwa mujibu wa WHR.