Kwanini Tanzania hamna migahawa ya McDonalds?

Kwanini Tanzania hamna migahawa ya McDonalds?

Mwenye kutulinda ni Allah tu.
Pamoja na yote siwezi kukuacha mama peke yako ila tu kitachoniondoa nyumbani ni namna unavyokaza sana kiasi kwamba mtoto naogopa hata kuwa huru kwa mama yangu mzazi.

Wanyaturu sisi tunawapenda wazazi wetu ndio mana unatuona tupo nyumban sio kwamba tumekosa pakwenda, ila kwa mama mkali mkali kama ulivyo hata huwezi kutukuta nyumban,tungeshajiondokea mapema tukajipumzkie huko.

Mama huna dogo wala kubwa bwana,muda wote we kauzu mtoto hadi namuogopa mama yangu mzazi
 
Pamoja na yote siwezi kukuacha mama peke yako ila tu kitachoniondoa nyumbani ni namna unavyokaza sana kiasi kwamba mtoto naogopa hata kuwa huru kwa mama yangu mzazi.

Wanyaturu sisi tunawapenda wazazi wetu ndio mana unatuona tupo nyumban sio kwamba tumekosa pakwenda, ila kwa mama mkali mkali kama ulivyo hata huwezi kutukuta nyumban,tungeshajiondokea mapema tukajipumzkie huko.

Mama huna dogo wala kubwa bwana,muda wote we kauzu mtoto hadi namuogopa mama yangu mzazi
Ombaomba tu kuliko wagogo. Kwa kupenda miteremko mnajulikana.
 
Chips na kuku za kitaani ndio tamu ladha yake unaipata vilivyo. Yale mangano na mayonaiza na madudu gani sijui hata hayana utamu kabisa. Chips kuku za kitaa kwa wapemba huku tamu baala
Halafu ukute ndio kuku wa kienyeji daaah wengine wananunua viboksi tu sio kuku[emoji2]
 
Back
Top Bottom