Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,563
- 5,369
Huwa najiuliza kwanini hamna migahawa ya McDonalds maana kama mtaji mbona kuna fast food restaurants nyingine kibao zilizoanzishwa kama Franchise za nje, hasa Dar es salaam... kuna KFC kibao, Subway, Pizza hut akina Mb na nyingine nyingi
Hivi sabab ya kutokuwa na McDonalds ni ipi? nauliza nataka fahamu
Hivi sabab ya kutokuwa na McDonalds ni ipi? nauliza nataka fahamu