Kwanza wasiliana nao ujuwe vigezo halafu ujuwe ni nini cha kutafuta. Pesa za biashara hazitafutwi, zinakutafuta. Unafikiri kazi za mabenki ni nini?
Tena hao mchanganuo wa biashara wanakupa wao wenyewe, wewe unabadili kutokana na nchi yako tu. Ukiupeleka benki hunyimwi pesa. Dhamana anza kwa mwenyekiti wako, babu yako akikunyima kuweka dhamana nyumba zake na mashamba yake, akikuzinguwa nenda kwa diwani wako, akikuzinguwa kwa mbunge wako.
Nyie badala ya kuwapelekea wanasiasa wenu biashara kama hizi mnawapelekea kesi za kufumaniana tu.