Kwanini Tanzania hamna migahawa ya McDonalds?

Kwanini Tanzania hamna migahawa ya McDonalds?

C unaagizaa kutokaa na unavyotakaa iwee mkuu c lzm ulee kilichotayar ,unaagizaa unavyotakaa wanakuleteaa hvyo hvyo japo ucpokuwa making wanakupiga,mfn ukiagiza kuku mzma ucpokuwa makin unakuta kuna nyama nyama wanaibaa hvyo kuku anakuwa ajakamilikaa


Kwamba wanaweza kuandaa mfano chicken wings bila kuweka ngano?

Nilizani ni formula zao katika kupika kuku wao!
 
Mpaka kwa Zena mbezi beach ya chini KFC wanafungua tawi open soonest [emoji3][emoji3]

Nikawaza hawa jamaa na kukuwao walojaa ngano halafu hata utamu ni wa kusikilizia wanajuhudi ya kujieneza bongo mpaka basi [emoji3][emoji3][emoji3]
 
Huwa najiuliza kwanini hamna migahawa ya McDonalds maana kama mtaji mbona kuna fast food restaurants nyingine kibao zilizoanzishwa kama Franchise za nje, hasa Dar es salaam... kuna KFC kibao, Subway, Pizza hut akina Mb na nyingine nyingi

Hivi sabab ya kutokuwa na McDonalds ni ipi? nauliza nataka fahamu
Hatuna sifa hamna wateja wa level zake wa kukidhi uwekezaji, its a slum country with poor per capital
 
Huwa najiuliza kwanini hamna migahawa ya McDonalds maana kama mtaji mbona kuna fast food restaurants nyingine kibao zilizoanzishwa kama Franchise za nje, hasa Dar es salaam... kuna KFC kibao, Subway, Pizza hut akina Mb na nyingine nyingi

Hivi sabab ya kutokuwa na McDonalds ni ipi? nauliza nataka fahamu
Kwanini hauileti wewe? Ni franchise, upo huru. Usingoje kufanyiwa, umeiona fursa ishughulikie.
 
Sawa Faiza ngoja ntafute 1B
Kwanza wasiliana nao ujuwe vigezo halafu ujuwe ni nini cha kutafuta. Pesa za biashara hazitafutwi, zinakutafuta. Unafikiri kazi za mabenki ni nini?

Tena hao mchanganuo wa biashara wanakupa wao wenyewe, wewe unabadili kutokana na nchi yako tu. Ukiupeleka benki hunyimwi pesa. Dhamana anza kwa mwenyekiti wako, babu yako akikunyima kuweka dhamana nyumba zake na mashamba yake, akikuzinguwa nenda kwa diwani wako, akikuzinguwa kwa mbunge wako.

Nyie badala ya kuwapelekea wanasiasa wenu biashara kama hizi mnawapelekea kesi za kufumaniana tu.
 
Back
Top Bottom