Kwanini Sweden (Sida) hawakutupa pesa FY2020|21 na badala yake wametupa FY2021|22 mwaka mmoja baadaye?

daah,cjui mmetoka wapi nyie.

Yani mbona wanafiki sana nyie.hizo sifa mnazompa samia na kumponda magufuli wakati wote ni serikali moja mmezitoa wapi?
Mkuu Hayati Magufuli kapondwa wapi?

Swala la kulinganisha mipango ya maendeleo ni jambo la kawaida duniani kote,

Hayati Magufuli mwenyewe alikuwa annasema nimeongeza bajeti ya madawa toka Tsh 31b mwaka 2015 hadi 270b mwaka 2020,

Je alikuwa anamponda JK?

TUACHENI MAHABA YA KISHAMBA KAMA HAMTAKI SAMIA ATAJWE ZIBENI MASIKIO KWAKUWA TUTAMTAJA SANA
 
Mkuu Hayati Magufuli kapondwa wapi?

Swala la kulinganisha mipango ya maendeleo ni jambo la kawaida duniani kote,

Hayati Magufuli mwenyewe alikuwa annasema nimeongeza bajeti ya madawa toka Tsh 31b mwaka 2015 hadi 270b mwaka 2020,

Je alikuwa anamponda JK?

TUACHENI MAHABA YA KISHAMBA KAMA HAMTAKI SAMIA ATAJWE ZIBENI MASIKIO KWAKUWA TUTAMTAJA SANA
Viva Samia Viva

Mimi ni chadema ila Samia dam
 
Mkuu Hayati Magufuli kapondwa wapi?

Swala la kulinganisha mipango ya maendeleo ni jambo la kawaida duniani kote,

Hayati Magufuli mwenyewe alikuwa annasema nimeongeza bajeti ya madawa toka Tsh 31b mwaka 2015 hadi 270b mwaka 2020,

Je alikuwa anamponda JK?

TUACHENI MAHABA YA KISHAMBA KAMA HAMTAKI SAMIA ATAJWE ZIBENI MASIKIO KWAKUWA TUTAMTAJA SANA
comment of the day
 
Ni aibu sana kwa nchi kubwa kama Tanzania kupewa misaada na kanchi kadogo kama mkoa.
Ina maana tumekosa watu wanaofikiri
 
magufulia alikuwa anatufundisha kujitegema, lakini watu wanalilia misaada. Unadhani kama China ingetegemea misaada ingekuwa hapo ilipo leo?

Waswahili wanapenda vya bure sana; inainikumbusha ule msemo kuwa "nikienda nje nianrudi na kibaba!"
Unajitegemeaje wakati uzalishi
 
Nyie si matajiri na hodari wa kuua wenzenu kisa wanataka demokrasia? tafuteni hela acheni kuhangaika na misaada , yule mzee wenu si aliwahi kusema nyie ni matajiri sana wa madini mbona mnashobokea misaada sasa, masikini wa fikra nyie.
Mwafrika hana uwezo wa kuongoza Jamii ikastawi
 
Una maswali mepesi sana...
Yaani wangetoa kipindi Jiwe lipo hai hizo hela zingeishia kusikojulikana!
Walipata funzo kutokana na matumizi ya pesa za tetemeko kule Bukoba!
 
Hao tembo wanaotoka hifadhini na kuvamia makazi ya wananchi bila shaka wanastahili kugeuzwa kitoweo.
Popote Ulipo sema "Mungu mlinde Rais Samia "

Matatizo yetu yatapungua sana

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
Mulamula kafanya kazi nzuri ya kuipaka Tanzania Rangi safi na ya kupendeza.
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima


Rais Samia atoa wastani wa madarasa manne na madawati 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima | Hakika awamu ya Sita Tanzania lazima iwe Tanzania.​

" Hakuna kama Samaia "​


Baada ya janga la Covid-19 kuvuruga Uchumi wa dunia na sisi tukiwemo, Shirika la fedha duniani ( IMF) pamoja na benki ya dunia ( WB) wameanza kuzisaidia nchi mbalimbali duniani ikiwemo Tanzania mikopo yenye masharti nafuu ili pesa hizo zitumike kama Economic Stimulus & Relief Fund na hapa muelewe vizuri Tanzania tunapokea mikopo na misaada ila "HATUITEGEMEI " ndio maana hata kwenye bajeti yetu hii ya FY2021|22 katia ya Tshs 36.33trl zilizotengwa pesa zetu ni 91.9% huku misaada na mikopo ikiwa ni 8.1% tu,

IMF tayari imeisaidia Tanzania mkopo wenye masharti nafuu kiasi cha Tshs 1.3trl kwaajili ya kusisimua Uchumi wake uliodorora kwasababu ya covod-19 kwani niukweli usiopingika Tanzania tumeumizwa zaidi kwenye Sekta za Utalii,biashara na Usafirishaji,

Rais Samia Suluhu Hassan kwa kutumia pesa hizo na baada ya kutoa madarasa ya kisasa elfu 15 sawa na wastani wa madarasa manne kwenye kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima huku kipaumbele kikiwa ni shule zenye upungufu wa madarasa lakini furaha iliyoje Rais wetu ametoa tena jumla ya madawati 462,795 ambayo ni sawa na Wastani wa madawati 120 kwenye kila Shule ya Sekondari nchi nzima ambazo jumla ya shule hizo ni 3,863.

Sababu za Rais Samia Suluhu Hassan kutoa madarasa mapya manne ya kisasa na madawati mapya 120 katika kila shule ya Sekondari ya Serikali nchi nzima ni kuhakikisha wazazi wa watoto watakaojiunga na kidato cha kwanza mwakani katika mwaka wa masomo 2021|2025 hawalipi hata Shilingia mia moja kwani Rais wetu mnyenyekevu ameshalipa pia ada za watoto wote 1M wanaotakiwa kuanza shule siku moja nchi nzima yaani trh 06|01|2022,hii haijawahi kutokea katika historia ya nchi yetu,


VIVA SAMIA VIVA || VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1971181

Anawezaje haya yote huyu mama?

SGR TZS 10.2T ni Yeye,
SG TZS 6.55T ni Yeye
Madarasa mapya manne kila sekondari nchi nzima,
Madawati 120 kila sekondari nchi nzima
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
14|10|2021

Rais Samia atakuwa Chato kwenye kuzima Mwenge

Sherehe zitafanyika Uwanja wa Magufuli,

Karibu sana njoo Uungane na Rais wako,


_________________
 
Unajisifia kwa kupewa misaada? Nielekeze nyumbani kwako nikuletee gunia la mchele na maharage kwa mkopo nafuu wa miaka 2 ufurahi na familia yako
 
Back
Top Bottom