Kwanini Sweden (Sida) hawakutupa pesa FY2020|21 na badala yake wametupa FY2021|22 mwaka mmoja baadaye?

UKIWA NA SAMIA RAHA SANA

Mabeberu waliwasikiliza sana hawa akina Lissu

Ila kwa jinsi mama anavyowafuata hadi New York kina Lissu kimya kabisa

Niliwaambia Samia atafanya mambo makubwa sana kirahisi kwasababu ya mkono wa Mungu

Mungu ampiganie Rais wetu kipenzi aendelee kutusaidia sisi masikini
Rais Samia ameongeza wanafunzi 29,000 kwenye mikopo ya elimu ya juu HESLB kwa miezi sita tu,

miaka mitano mfululizo iliyopita tulifanikiwa wanafunzi wapya 32,000

Unaisemaje kasi ya Rais Samia?
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
 
Hongera

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
Good
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359
Yule omba omba pale mtaani kwako kuna siku atakuuliza swali hilo hilo, kwa nini hukunipa hela jana, unanipa leo!
 

EPforR I ilitoa TZS 208b kwa JK mwaka FY2014|15 to 2020|21, why EPforR II imetoa TZS 196b kwa Rais Samia FY2021|22 mwaka mmoja baadaye,Je waligoma au hawakuwa na pesa?​


==============

Katika kile kinachotajwa kama Kuimarika kwa diplomasia ya Uchumi na ukuaji wa demokrasi na Utawala wa sheria nchini Rais Samia Suluhu Hassan apokea msaada wa Tshs 196bl kutoka nchi ya Sweden ( SIDA ) kwaajili mradi wa Education Programme for Results phase two ( EPforR II),

FY2014|15 Rais Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne alipokea Tshs 208bl toka hukohuko Sweden kwaajili ya mradi wa elimu wa Education Programme for Result Phase One (EPforR I) ambao ulikuwa ni mkataba wa miaka mitano mitano yaani FY2014|15 hadi FY2020|21,

Swali langu kwenu,kwanini Swedeni (Sida) hawakutupa pesa hizi FY2020|21 kama mkataba ulivyoonesha na badala yake wametupa Leo FY2021|22 yaani mwaka mmoja baadae? Je, nikweli sasa dunia imekubali mapigo ya Rais Samia Suluhu juu ya Ujenzi mpya wa diplomasia kimataifa na ongezeko la nafasi kwa Watanzania kwenye Uhuru wa kujieleza, Uhuru wa habari na vyombo vya habari,Utawala wa sheria pamoja na demokrasi?

Je,Vipi kuhusu hawa mabwana watatu yaani Yule bwana wa Singida,Yule bwana wa Arusha na Yule bwana wa Bukoba|Kagera unadhani wazungu kwa kumpa Rais Samia hizi Tshs 196bl wameamua kutuma ujumbe gani kwao baada ya wao kuwazuia mwaka jana? Je,tusubiri wafukuzwe kama mbwa au tuwashauri warudi nyumbani kwa hiari yao kwakuwa Tanzania ya Sasa ni salama zaidi na wahisani wametambua yakuwa Tanzania kwa sasa ni salama pengine kuliko wakati wowote wa uhai wake,

Kama hawa jamaa walishavunja mkataba kwa sababu walizozijua wao, Je bila diplomasia ya Rais Samia Tanzania ingepata hizi pesa leo? "Tunaposema hakuna kama Samia lazima mtuelewe pesa hii ya msaada inaweza kujenga madarasa elfu 10 mapya kwaajili ya watoto hawa wa masikini, Watanzania je hili ni jambo baya?"

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI


VIVA SAMIA VIVA ||VIVA TANZANIA VIVA

View attachment 1966359

Serikali ya Tanzania inapenda hela za mabeberu
 
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

Kutoka Mwaka 2015/16 hadi 2020/21 pesa iliyoongezwa bodi ya mikopo ilikuwa Tshs 101BL na wanafunzi wapya walikuwa elfu 32 ,

Awamu ya sita kwa miezi sita pesa iliyoongezwa kwenye bodi hiyohiyo ni Tsh 120b na wanafunzi wapya ni elfu 29

Budget ya HESLB kwa mwaka 2015/16 ilikuwa 348.7B kwa wanafunzi 98,300

Budget ya HESLB mwaka 2020/21 ilifikia 450B kwa wanafunzi 130,883

_________________________

Awamu ya sita kwa miezi sita imeongeza budget kutoka 450B za awali hadi 570B za sasa na idadi ya wanufaika imeongezeka na kufikia 160,000.

#Hoja hapa ni muda wa matokeo

#HAKUNA KAMA SAMIA
Nzuri sana hii,
 
Back
Top Bottom