Diplomasia ya Uchumi ya Rais Samia Imeleta Majibu. Meli zamiminika na Kufurika Bandari ya Dar. Waliomtabiria Kushindwa Wanaaibika

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,042
49,727
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa.Bandari ya Dar imezidi kujaa meli zikipanga foleni Ili kusubiria kushusha mzigo.

Huu ni ushindi mkubwa Kwa sera za Rais Samia za kukuza biashara na Kuimarisha Ushirikiano wa Kimataifa Kupitia diplomasia ya Uchumi.

Wale waliomtabiria kwamba atashindwa na blaa blaa zingine Wanazidi kuaibika kwani Kwa miaka 3 mfululizo Bandari ya Dar imezidi kuweka rekodi na kujivunja.

Mathalani mwaka 2021/22 Jumla ya tani mil.19 zilisafirishqa Kupitia Dar Port ,mwaka uliofiatoa Jumla ya tani mil.2022/2023 Jumla ya tani mil.21 zilihudumiwa na Mwaka Jana 2023/2023 Jumla ya tani mil.23 ilihudimiwa.

Ambapo Sasa Kwa mwaka huu wa 2023/2024 Bandari ya Dar Pekee inatarajia kuhudumia tani kati ya mil.24-25 by June 2023/2024.Hapo hatujajumlisha Bandari zingine ambapo inatarajia Kwa pamoja zitahudumia zaidi ya tani Milioni 30.

-446625148.jpg

Hongera sana Rais Samia,wanaokuchukia na kukuonbea mabaya wanaaibika wao maana Mungu anatembea na wewe Kwa maslahi ya Watanzania.

Hongera sana Management nzima ya TPA,walau awamu hii tunaona matokeo as opposed to awamu zilizopita kulikuwa na malalamiko mengi yasiyo na msingi.

Chini ya miaka 3 umeandika kitabu kizuri sana Cha historia kwenye sekta zote.Kazi iendelee 👇

View: https://youtu.be/PjlCZw5hznQ?si=Twdd5lPYFAkuhNXv

Screenshot_20240115-083749.jpg
 
Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Kila anapogusa ni lazima papate baraka na kufanikiwa .kila awekapo vidole vyake ni lazima patoe na kuleta matokeo chanya kwa watanzania. Ni kiongozi na mama mwenye kibali cha uongozi kutoka kwa Mungu mwenyewe. Kuinuliwa kwake kiuongozi kumekuja na kuambatana na neema kubwa kila mahali na kila sehemu.
 
Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Kila anapogusa ni lazima papate baraka na kufanikiwa .kila awekapo vidole vyake ni lazima patoe na kuleta matokeo chanya kwa watanzania. Ni kiongozi na mama mwenye kibali cha uongozi kutoka kwa Mungu mwenyewe. Kuinuliwa kwake kiuongozi kumekuja na kuambatana na neema kubwa kila mahali na kila sehemu.
Ana Nyota Kali sana 🔥🔥
 
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa.Bandari ya Dar imezidi kujaa meli zikipanga foleni Ili kusubiria kushusha mzigo.

Huu ni ushindi mkubwa Kwa sera za Rais Samia za kukuza biashara na Kuimarisha Ushirikiano wa Kimataifa Kupitia diplomasia ya Uchumi.

Wale waliomtabiria kwamba atashindwa na blaa blaa zingine Wanazidi kuaibika kwani Kwa miaka 3 mfululizo Bandari ya Dar imezidi kuweka rekodi na kujivunja.

Mathalani mwaka 2021/22 Jumla ya tani mil.19 zilisafirishqa Kupitia Dar Port ,mwaka uliofiatoa Jumla ya tani mil.2022/2023 Jumla ya tani mil.21 zilihudumiwa na Mwaka Jana 2023/2023 Jumla ya tani mil.23 ilihudimiwa.

Ambapo Sasa Kwa mwaka huu wa 2023/2024 Bandari ya Dar Pekee inatarajia kuhudumia tani kati ya mil.24-25 by June 2023/2024.Hapo hatujajumlisha Bandari zingine ambapo inatarajia Kwa pamoja zitahudumia zaidi ya tani Milioni 30.
View attachment 2872456

Hongera sana Rais Samia,wanaokuchukia na kukuonbea mabaya wanaaibika wao maana Mungu anatembea na wewe Kwa maslahi ya Watanzania.

Chini ya miaka 3 umeandika kitabu kizuri sana Cha historia kwenye sekta zote.Kazi iendelee 👇
View attachment 2872455
Hata wakati wa kikwete zilifurika ...ila site tunajua kilichokuwepo.
Ungesema Kwa Sasa meli kubwa ziadi zinafika baada ya mradi wa jiwe WA trillion 1 kukamilika
 
Hata wakati wa kikwete zilifurika ...ila site tunajua kilichokuwepo.
Ungesema Kwa Sasa meli kubwa ziadi zinafika baada ya mradi wa jiwe WA trillion 1 kukamilika
Zipi hizo zilizofurika? Unaelewa maana ya Kufurika? Weka namba tukinganishe.

Maboresho ya Bandari hayajaanza na Jiwe Wala hayataishia na Samia ,punguza ujinga kasome mradi wa Dar maritime development project.

Mradi ulikamilika Toka Jiwe akiwa Rais kwa nini meli hazikufurika awamu yake? 😁😁

View: https://www.instagram.com/reel/C14be2_IuO_/?igsh=MTl1bWw3eWs5aDZwdw==
 
Hayawi hayawi Sasa yamekuwa.Bandari ya Dar imezidi kujaa meli zikipanga foleni Ili kusubiria kushusha mzigo.

Huu ni ushindi mkubwa Kwa sera za Rais Samia za kukuza biashara na Kuimarisha Ushirikiano wa Kimataifa Kupitia diplomasia ya Uchumi.

Wale waliomtabiria kwamba atashindwa na blaa blaa zingine Wanazidi kuaibika kwani Kwa miaka 3 mfululizo Bandari ya Dar imezidi kuweka rekodi na kujivunja.

Mathalani mwaka 2021/22 Jumla ya tani mil.19 zilisafirishqa Kupitia Dar Port ,mwaka uliofiatoa Jumla ya tani mil.2022/2023 Jumla ya tani mil.21 zilihudumiwa na Mwaka Jana 2023/2023 Jumla ya tani mil.23 ilihudimiwa.

Ambapo Sasa Kwa mwaka huu wa 2023/2024 Bandari ya Dar Pekee inatarajia kuhudumia tani kati ya mil.24-25 by June 2023/2024.Hapo hatujajumlisha Bandari zingine ambapo inatarajia Kwa pamoja zitahudumia zaidi ya tani Milioni 30.


Hongera sana Rais Samia,wanaokuchukia na kukuonbea mabaya wanaaibika wao maana Mungu anatembea na wewe Kwa maslahi ya Watanzania.

Hongera sana Management nzima ya TPA,walau awamu hii tunaona matokeo as opposed to awamu zilizopita kulikuwa na malalamiko mengi yasiyo na msingi.

Chini ya miaka 3 umeandika kitabu kizuri sana Cha historia kwenye sekta zote.Kazi iendelee 👇

View: https://youtu.be/PjlCZw5hznQ?si=Twdd5lPYFAkuhNXv


Rais Samia Ni mpango wa Mungu Mwenyewe. Kila anapogusa ni lazima papate baraka na kufanikiwa .kila awekapo vidole vyake ni lazima patoe na kuleta matokeo chanya kwa watanzania. Ni kiongozi na mama mwenye kibali cha uongozi kutoka kwa Mungu mwenyewe. Kuinuliwa kwake kiuongozi kumekuja na kuambatana na neema kubwa kila mahali na kila sehemu.
Dubai Ports World.
Uzi umesheheni machawa huu hadi unachosha
 
..tani ngapi zimeingia?

..tani ngapi zimetoka?

..zaidi tuangazie kilichotoka kina thamani gani maana hicho kinaakisi uzalishaji na mauzo yetu.
 
Back
Top Bottom