Kwanini sitaki kupata mtoto

Kwanini sitaki kupata mtoto

Matatizo ya nguvu za kiume yanatibika jitahidi tu kuhuzuria therapy sessions

.."the first foundamental function of a living cell is to produce so they can pass down information" sasa we ni mgumba kuanzia mawazo mpakavia vya uzazi
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.
Ukikua utabadili mawazo yako pale utakapoona nyumba yote uko mpweke.
 
Nalendwa

Who the cap fit let them wear it

Maamuzi ya kutokuwa na mtoto ni jambo binafsi.

Mleta mada ameona hivyo ndiyo inampendeza....who am I to tell differently?

I have my opinion but I can't tell people what to think.

Hapo unaona nime-support unamuzi wake kwa sababu naheshimu uhuru wa kuchagua.

Yes I'm pro choice.

Kuhusu wachangiaji wengine (me) kumpinga naweza sema hiyo inasababishwa na patriarchal mentality.

Kwamba watu wote wanapaswa waone maisha kwa mtazamo mmoja tu. That is wrong.....I don't support


That's good Mwelewa, nimependa sana hapo pa Pro-choice.

Kwa kweli hili ni ISSUE kwenye jamii yetu kama ulivyosema, ambayo mostly jamii inakuwa controlled by a certain group or a certain Idea. Ni tatizo haswa cos wakitokea watu kama flamini wanaonekana wana kasoro, wakati ni kawaida kwa mwanadamu kuwa na desire.
Kitu kingine.
From some 'reads' I thought you were a little conservative, especially when it comes to traditional values. That's why I wanted to hear more about this from you, but you seem mixed, which is good.
 
Mimi ningekuwa wewe basi ningekunywa sumu nife tu, ya nini kuhangaika na maisha, hiyo productivity unayoitaka is for what? Ukipata hizo mali mwisho wa siku ziende wapi? Kwa nini ujihangaishe?
 
Mimi ningekuwa wewe basi ningekunywa sumu nife tu, ya nini kuhangaika na maisha, hiyo productivity unayoitaka is for what? Ukipata hizo mali mwisho wa siku ziende wapi? Kwa nini ujihangaishe?


Mali lazima ziende kwa watoto ama ndugu tu?!, anaweza kusaidia wengine pia wenye Mahitaji.
 
Mali lazima ziende kwa watoto ama ndugu tu?!, anaweza kusaidia wengine pia wenye Mahitaji.
Huo sasa ndo ujinga wenyewe yaani upoteze nguvu zako kwa ajili ya wengine wenye mahitaji.
 
That's good Mwelewa, nimependa sana hapo pa Pro-choice.

Kwa kweli hili ni ISSUE kwenye jamii yetu kama ulivyosema, ambayo mostly jamii inakuwa controlled by a certain group or a certain Idea. Ni tatizo haswa cos wakitokea watu kama flamini wanaonekana wana kasoro, wakati ni kawaida kwa mwanadamu kuwa na desire.
Kitu kingine.
From some 'reads' I thought you were a little conservative, especially when it comes to traditional values. That's why I wanted to hear more about this from you, but you're mixed, which is good.
Nimependa hapo umesema "I thought you were a little conservative especially when it comes to traditional values"

That line made me smile

Yes baadhi ya maoni yangu ni "conservative" kuhusu mambo mengi tu ya kijamii. Nashikilia msimamo huu nikiwa na lengo moja kutetea maslahi ya watu wangu. African people.

Nafahamu siwezi kuwa sawa wakati wote.....so I'm always open to new ideas, opinions.

Lakini inapokuja uhuru wa mtu kuchagua mambo binafsi kamwe sitajaribu kumzuia as long as no harm is done
 
Nimependa hapo umesema "I thought you were a little conservative especially when it comes to traditional values"

That line made me smile

Yes baadhi ya maoni yangu ni "conservative" kuhusu mambo mengi tu ya kijamii. Nashikilia msimamo huu nikiwa na lengo moja kutetea maslahi ya watu wangu. African people.

Nafahamu siwezi kuwa sawa wakati wote.....so I'm always open to new ideas, opinions.

Lakini inapokuja uhuru wa mtu kuchagua mambo binafsi kamwe sitajaribu kumzuia as long as no harm is done


I'm glad I wasn't off the line. 🙂

That's just Great!
One of the things that make US, and give us Identity is to be strong and firm in what we believe in, no matter what others might say, or any other distractions.
And if you're still open to new ideas for the lone purpose of learning..it's a perfect match, and one of its kind.
 
Mimi hivyo hivyo, hasa nikifikiri uoza wa hii dunia!
 
HUNA ADABU, SEE MY COMMENT IN RED BELOW

Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

MAMA AKO ANGESEMA HIVYO UNGEKUWA HAI LEO?

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

BABA AKO ANGESEMA HIVYO UNGEKUWA HAI LEO

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

MBWA WEWE

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.
 
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.

Mzazi wako angefanya hivyo ungekuwepo wewe? Huo ni ubinafsi na uoga wa maisha.

Vv
 
Mzazi wako angefanya hivyo ungekuwepo wewe? Huo ni ubinafsi na uoga wa maisha.

Vv
Mzazi wangu yeye ndio alikua ana shida na malengo na mimi ndio maana akanileta,mimi sina malengo na mtoto kuna haja ya kumleta?

Kuhusu ubinafsi naweza kusema wazazi ndo wabinafsi sababu wao kwa maamuzi yao wenyewe wanaamua kunileta kwa furaha yao wenyewe.
 
s
Habari

Kama kijana wa kiume mwenye uwezo wa kuzaa lakini sitotaka mtoto katika dunia hii kwa sababu zifuatazo.

Sitaki kupoteza zaidi ya miaka 20 yangu kulea kiumbe.
Kulea mtoto mpaka aweze kujitegemea minimum ni miaka 20,kwanini nipoteze umri wangu kulea wakati ninaweza kutumia mda huo wa kulea kuzidi kua productive.

Hamna guarantee katika maisha.
Kama mnavojua maisha yetu haya hayana guarantee,kwa mimi siwezi kuleta kiumbe katika dunia hii ambayo haieleweki na iliojaa mabalaa.ili kumuepusha huyo mtoto na mabalaa ya dunia nimeamua nisimlete kabisa au unaweza ukaleta mtoto akawa balaa kwa dunia akawa mwizi,shoga,muuwaji,gaidi sasa kwanini nitake risk wakati naweza iepuka?

Watoto watanirudisha nyuma
Kutokana na kazi yangu watoto watanirudisha nyuma.watanicost pesa yangu,mda wangu pamoja na stress zao arghh maisha ni yangu na yatabaki kua yangu

____
Sasa mama yangu kila akiniuliza kua anategemea mjukuu kutoka kwangu hua napatwa na hasira japo nampenda.

Kua na mtoto ni chaguo langu,sitaki jamii inipe presha ya kupata mtoto sababu mimi sio 3D human printer.

It is our body, our will, our blood and flesh; and hence our choice to procreate or not.

Nobody is supposed to be judged just because they don't want to have babies.

Sometimes we want our career and sometimes our passion to lead our lives. If making a child doesn't fit in that, what's a big deal ?

Maasallam.
sawa
 
Back
Top Bottom