Kweli kabisa, bila hivyo sijui dunia ingekuwaje tu kwakweli.Yeah ndio kwa misingi hiyo hiyo ya kua tofauti ndio inayofanya dunia izidi kuendelea
hapo sasa neno maisha linaanza na mtu binafsi kabla halijajitafsiri kwa kuwahusisha watu wengine ...ukipata janga wewe atakayeumia zaidi nakuathirika kwakiwango kikubwa niwewe tu..hvyo basi hata maisha yako ili yaweze kuwa ktk namna Fulani yanategemea kwakiasi kikubwa mnoo na maamuzi yko binafsiKweli kabisa, kuna mambo tunayacomplicate wenyewe tu vichwani na kwa kuangalia watu au jamii itanionaje wakati sio wao watakaoyaishi hayo maisha.
Yaani haya ni mambo ya kawaida tu ila sijui kwaini watu wanayacomplicate hivi!!!
Na bahati nzuri ni kuwa kila mtu anawaza kivyake na ana maamuzi yake binafsi.
Na bado ukizaa watoto wakakushinda kulea bado watakusakama hao wao. Ni mtu kufanya kile kinamfurahisha, cha msingi havunji sheria.hapo sasa neno maisha linaanza na mtu binafsi kabla halijajitafsiri kwa kuwahusisha watu wengine ...ukipata janga wewe atakayeumia zaidi nakuathirika kwakiwango kikubwa niwewe tu..hvyo basi hata maisha yako ili yaweze kuwa ktk namna Fulani yanategemea kwakiasi kikubwa mnoo na maamuzi yko binafsi
Kukariri kubaya sana.Acha tu, mtu anamtolea maneno machafu mtoa thread utafikiri yeye ndio atapata shida..
Hivi mbona mtu akichagua kuwa daktari,mwingine Padri,wingine seremala......nk hatushangai? Ila ktk hili sijui tumejengewa nini vichwani hata watu waone ni kitu cha ajabu sanaaa.Yap!, na ndio maana tumepewa Will, kila mtu tofauti.
Na bado ukizaa watoto wakakushinda kulea bado watakusakama hao wao. Ni mtu kufanya kile kinamfurahisha, cha msingi havunji sheria.
Hivi mbona mtu akichagua kuwa daktari,mwingine Padri,wingine seremala......nk hatushangai? Ila ktk hili sijui tumejengewa nini vichwani hata watu waone ni kitu cha ajabu sanaaa.