Kwanini sitaki kupata mtoto

Kwanini sitaki kupata mtoto

Mimi acha nikutukane tu ukimaindi poa.
Wewe ni MPUMBAVU.
Naandika mda huu kwa ghadhabu na ungekuwa karibu ningekupiga hata mjiwe wa kichwa.
yani mtoto wa kiume unasimama mble ya wanaume wenzio unaongea upuuz huu kama KANITHI bhna.
wewe unadhan baba yako angekuwa na mawazo kama yako wewe ungekuwepo hapo ulipo mpaka leo hiii.
mitoto mijinga kama nyinyi ndio ilifaa mishahawa uliyosababisha mimba zenu inepigiwa punyeto tu mnepotelea huko kusikojulikana
Au m'bovu wewe unajihami tu..!!???
Baba yangu amezaa kaka yangu ambaye ni shoga,hana jinsi anatamani amuue.

Mimi nimeongelea upande wangu na kuhusu baba yangu yeye alinizaa kwa sababu zake mkuu mimi sikutaka au kuomba kuzaliwa katika dunia hii bali ilikua mipango yake yeye na mkewe kua wapate mtoto na walikua tayari washakubali changamoto zote za kulea mtoto..mimi kama mimi sina mpango huo wakuleta kiumbe duniani nina kosa gani?
 
Haya bimdashi tumekusikia ni uamuzi wako kubeba mimba au kuacha
 
Well honey no one will force you to make babies.

But I will be honest as a Mom. There is no greater joy than being a parent.

Everything falls into place. You feel like you were never alive. You live for your child.... work hard to ensure they have everything in life.

But then again. Its your choice.
 
Well honey no one will force you to make babies.

But I will be honest as a Mom. There is no greater joy than being a parent.

Everything falls into place. You feel like you were never alive. You live for your child.... work hard to ensure they have everything in life.

But then again. Its your choice.
I have been born in a large family consisting of two mothers and 13 kids.

I know the joy babies bring but for me they cant exceed the misery the give.They have high pitched voices permanently set to Loud,They scream and cry at absurd things, which frustrates me to no end.

Also i think i will be a horrible parent I have angry instincts that I have to control. If someone pisses me off and I can't escape, my first impulse is to resort to things like a slap in the face to wake them up out of their stupidity.

Kids care about themselves. I cannot drop my life to provide for them without becoming bitter, resentful, and angry.
 
Baba yangu amezaa kaka yangu ambaye ni shoga,hana jinsi anatamani amuue.

Mimi nimeongelea upande wangu na kuhusu baba yangu yeye alinizaa kwa sababu zake mkuu mimi sikutaka au kuomba kuzaliwa katika dunia hii bali ilikua mipango yake yeye na mkewe kua wapate mtoto na walikua tayari washakubali changamoto zote za kulea mtoto..mimi kama mimi sina mpango huo wakuleta kiumbe duniani nina kosa gani?

haya kaka kila la heri katika zoez lako.
mana hilo ndilo chaguo lako na kila mmoja na mtazamo wake katika hilo.
 
Man well i hope unajua faida na hasara za amaamuzi hako. Sikushauri chochote kwenye hili but know kilakitu kina muda wake.
Kuna wakati utakuja, wakati ambao utajiangalia mwenyewe, utakubal kuwa unahitaj mtoto. Past experience na background za familia uliyotoka,maybe ndio zimekufanya ufikie maamuzi hayo. But trust me the time will come..
 
Jamaa kaandka kitu cha maana sana,hapaswi kibezwa...,kwa kuongezea tu kidogo ni...kuna watu huwa wanawachukulia watoto kama asset lakn ukweli ni kwamba watoto siyo asset na ukijichanganya wanaweza kuwa hasara kubwa sana ktk maisha yako kama alivyoeleza mtoa post,vilevile mtoto anaweza hata kufikisha miaka 40 bado hajaweza kujitegema hii inategemea jinsi ninyi wazazi mlivyo muandaa kuyakabili mazingira ajapokuwa m2 mzima!
 
Man well i hope unajua faida na hasara za amaamuzi hako. Sikushauri chochote kwenye hili but know kilakitu kina muda wake.
Kuna wakati utakuja, wakati ambao utajiangalia mwenyewe, utakubal kuwa unahitaj mtoto. Past experience na background za familia uliyotoka,maybe ndio zimekufanya ufikie maamuzi hayo. But trust me the time will come..
Yes naelewa kua watoto wanakupa purpose ya maisha,wanakupa motivation ya kuwahangaikia lakini pia watoto wanakuja na dissapointment na achievment zao mbalimbali ila ni kama kamari kujua huyu mtoto atakuaje aidha baraka kwako au dissapointing kwako.
 
Afya ya akili ni kuwa na uwezo na maamuzi binafsi na kuwa na tabia za kawaida kama watu wengine na kuweza kujitambua wewe binafsi ni nani.
Ukiwa na akili timamu kabisa swala la kuwa na familia lazima utalitarajia tuu na utapenda iwe hvyo na si vinginevyo,lkn kama ni kinyume chake basi kuna tatizo ktk akili (si tusi) kwa kuwa umewaza yale ambayo katka jamii ya kawaida hayapo.
Huwa inasababishwa na mengi lkn jaribu kaa na kufikiria usahihi wa maamhzi yako.
Kiukweli kabisa unahitaji msaada kusaikolojia kuondokana na hiyo hali.
 
Wewe vp?kwani mimi nilimlazimisha anilete duniani?mimi nilitaka anizae?si kwa mapenzi yake na hitajio lake?nachosema kuzaa au kutokuzaa ni uamuzi binafsi lakini sio lazma uzae ndo uishi kwa furaha duniani..tuheshimu na tuzikubali tofauti zetu
nakuunga mguu mkuu
yaani Anataka uige falsafa za maisha ya wazazi wako ilhali kila mtu ana mwili na fikra zake
 
Baba yangu amezaa kaka yangu ambaye ni shoga,hana jinsi anatamani amuue.

Mimi nimeongelea upande wangu na kuhusu baba yangu yeye alinizaa kwa sababu zake mkuu mimi sikutaka au kuomba kuzaliwa katika dunia hii bali ilikua mipango yake yeye na mkewe kua wapate mtoto na walikua tayari washakubali changamoto zote za kulea mtoto..mimi kama mimi sina mpango huo wakuleta kiumbe duniani nina kosa gani?
huna makosa mkuu ..uko sahihi kabisa ..kwanza wazazi wako wewe ulikuwa huwajui nawala hukuwa nampngo wakuwajua ama kuja duniani. yaani in short hukuwa nashida hiyo...nimipngo yao wenywe binafsi iliyosabbisha kukuzaa kama hvyo ulivyosema
 
I have been born in a large family consisting of two mothers and 13 kids.

I know the joy babies bring but for me they cant exceed the misery the give.They have high pitched voices permanently set to Loud,They scream and cry at absurd things, which frustrates me to no end.

Also i think i will be a horrible parent I have angry instincts that I have to control. If someone pisses me off and I can't escape, my first impulse is to resort to things like a slap in the face to wake them up out of their stupidity.

Kids care about themselves. I cannot drop my life to provide for them without becoming bitter, resentful, and angry.


I hear you loud and clear, and can't say much just because you're a man.
 
Back
Top Bottom