Afya ya akili ni kuwa na uwezo na maamuzi binafsi na kuwa na tabia za kawaida kama watu wengine na kuweza kujitambua wewe binafsi ni nani.
Ukiwa na akili timamu kabisa swala la kuwa na familia lazima utalitarajia tuu na utapenda iwe hvyo na si vinginevyo,lkn kama ni kinyume chake basi kuna tatizo ktk akili (si tusi) kwa kuwa umewaza yale ambayo katka jamii ya kawaida hayapo.
Huwa inasababishwa na mengi lkn jaribu kaa na kufikiria usahihi wa maamhzi yako.
Kiukweli kabisa unahitaji msaada kusaikolojia kuondokana na hiyo hali.