Kwanini sisi weusi tupo hivi?

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,221
3,167
Hata kama ujabahatika kutembelea nchi za Europe au America. Lakini utakuwa umejionea kwenye social media

Kuna baadhi ya vitu sisi weusi tumekuwa tunavipenda na vimekuwa sehemu ya utamaduni wetu. Mfano bling jewellery, hair(mfano extensions, wigs, n.k), cosmetics, vyakula na vingine vingi.

Ambacho kimekuwa kinaniumiza kichwa. Maduka ya hizi bidhaa Europe na America mengi kama sio yote. Hayamilikiwi na weusi hasa maduka makubwa.

Lakini, ukiangalia bidhaa wanazopenda wahindi hayo maduka yanamilikiwa na Wahindi. Kwa Wachina, Turkish, Polish ni hivyo hivyo. Lakini kwa sisi weusi ni tofauti. Ni kwanini inakuwa hivi?

Kwenye maduka ya vyakula vya kiafrica ni hivyo hivyo:

DA41B102-4240-499B-90B2-EFA45BDF4C0F.jpeg


1634389285717.jpeg


Bling bling:
1634389541302.jpeg


1634389623374.jpeg


1634389682651.jpeg


1634389724485.jpeg


Kwenye vyakula.
1634390901699.jpeg
 
Tuko hivyo kwa sababu moja kuu.
1. Ni kwa sababu tuko hivyo.
 
Tuko hivyo kwa sababu moja kuu.
1. Ni kwa sababu tuko hivyo.
Hii imekuwa inaniumiza sana. Kama ukiangalia Europe sehemu ambayo wanaishi weusi wengi lakini maduka karibia yote yanayouza bidhaa tunazonunua hayamilikiwi na sisi. Tunakuwa wateja tu

Halafu tuuingia kwenye hayo maduka watuita “broda au Anti”
 
Hakuna eneo ambalo mtu mweusi anafanya vizuri, iwe siasa, uchumi, imani/dini, utamaduni, mahusiano, kusimamia mali asili, mtindo ya maisha,lugha, mpaka majina yetu ni ya kutoka huko huko.

Inasemekana wakati a uumbaji, mungu alisahau kuweka ubongo kwa mtu mweusi.
 
Research yako iko wapi mpka umeamua ku-generalize ..Kama unapenda bling hiyo ni ww🤣
 
Hakuna eneo ambalo mtu mweusi anafanya vizuri, iwe siasa, uchumi, imani/dini, utamaduni, mahusiano, kusimamia mali asili, mtindo ya maisha,lugha, mpaka majina yetu ni ya kutoka huko huko.

Inasemekana wakati a uumbaji, mungu alisahau kuweka ubongo kwa mtu mweusi.
Sisi michezo na burudani ndo mahali tunaweza
 
Research yako iko wapi mpka umeamua ku-generalize ..Kama unapenda bling hiyo ni ww🤣
Mkuu,
Kama ukishawahi kutembelea UK and US tena hasa maeneo ambayo asilimia kubwa ni weusi. Utaliona hilo tatizo.

Angalia maduka Marekani ambayo ya yanauza chain na saa zenye almasi na madini mwingine wateja ni group gani?
 
Kwan hela ya kumilik tunayo

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Mkuu,
Tatizo ni zaidi ya mtaji. Mfano maduka ya hair za dada zetu. Nadhani mtaji wake sio mkubwa sana!
Ukiingia kwenye haya maduka unaweza kusema upo Africa yalivyojaa weusi but sadly ni wanunuzi!

Yum na plantain zinaliwa sana na west africa. Lakini wanaowauzia Europe ni Waturkish na mataifa mengine ambao hata hawajawai kuzionja!
 
Mtu mweusi anajisikia fahari akihudumiwa na mtu mweupe
Labda tusiloelewa ni kuwa wenzetu ndio wanajijengea ukwasi kwa kutuhudumia wakati Sisi tunakufa masikini kwa kupenda kuhudumiwa.
 
Hakuna eneo ambalo mtu mweusi anafanya vizuri, iwe siasa, uchumi, imani/dini, utamaduni, mahusiano, kusimamia mali asili, mtindo ya maisha,lugha, mpaka majina yetu ni ya kutoka huko huko.

Inasemekana wakati a uumbaji, mungu alisahau kuweka ubongo kwa mtu mweusi.
Kwa iyo we unafikilia kwa kupitia matako
 
kwahiyo ni kama unataka kusema wanatupiga kwa mali zilizotoka ktk ardhi yetu tunayoikanyaga.

ila pia ni ngumu sana kukuta ngozi nyeupe maarufu kajijaza hayo madude shingoni na vidoleni.

wao wana ugonjwa wao,ma tatoo.
 
Yale machain ya domo aliyanunua kwa ma nigga au weupe pee?
Kuna clip niliona kaingia kwenye duka flani kununua bling bling saa,chains,na mapete ya freemason.
 
Hakuna eneo ambalo mtu mweusi anafanya vizuri, iwe siasa, uchumi, imani/dini, utamaduni, mahusiano, kusimamia mali asili, mtindo ya maisha,lugha, mpaka majina yetu ni ya kutoka huko huko.

Inasemekana wakati a uumbaji, mungu alisahau kuweka ubongo kwa mtu mweusi.
Ni kweli inajionesha kabisa sisi ni watumwa wa mtu mweupe.Kinachonikasirisha ni kukataa mpaka majina yetu na kukataa vyetu.
 
Yale machain ya domo aliyanunua kwa ma nigga au weupe pee?
Kuna clip niliona kaingia kwenye duka flani kununua bling bling saa,chains,na mapete ya freemason.
Stage aliyofikia naona wahuni wamemwambia inabd ajionyeshe wazi ,na video zake lazima manguo ya makafara yaonekane , yeye na madensa wake na mask ya sign ya mbuzi
 
Tatizo la muafrika akipata hela kidogo tu anataka dunia nzima ijue kwahiyo atatafuta kitu chochote kitakachofanya aonekane ana hela.
 
Hata kama ujabahatika kutembelea nchi za Europe au America. Lakini utakuwa umejionea kwenye social media

Kuna baadhi ya vitu sisi weusi tumekuwa tunavipenda na vimekuwa sehemu ya utamaduni wetu. Mfano bling jewellery, hair(mfano extensions, wigs, n.k), cosmetics, vyakula na vingine vingi.

Ambacho kimekuwa kinaniumiza kichwa. Maduka ya hizi bidhaa Europe na America mengi kama sio yote. Hayamilikiwi na weusi hasa maduka makubwa.

Lakini, ukiangalia bidhaa wanazopenda wahindi hayo maduka yanamilikiwa na Wahindi. Kwa Wachina, Turkish, Polish ni hivyo hivyo. Lakini kwa sisi weusi ni tofauti. Ni kwanini inakuwa hivi?

Kwenye maduka ya vyakula vya kiafrica ni hivyo hivyo:

View attachment 1976465

View attachment 1976470

Bling bling:
View attachment 1976475

View attachment 1976478

View attachment 1976479

View attachment 1976480

Kwenye vyakula.
View attachment 1976501

Sasa mkuu ulitaka tuwe na tabia sawa na wazungu? Yaani dunia mzima tufanane tabia?!

Mbona hii dunia ingekuwa boring sana?

Anyway, jibu ni rahisi sana. Hayo unayoyahoji baadhi ni matokeo ya vita vya kisaikolojia vinavyopiganiwa kwenye bongo na akili za muafrika.

Avutiwe na vitu ambavyo havitampa maendeleo kiuchumi ila muuzaji. Muuzaji mwenyewe unamkuta hatumii kile anachokiuza ila faida yake anawekeza zaidi kwenye miradi yake ya kimkakati kiuchumi.

Kichwa cha binadamu ni uwanja wa vita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom