Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Mzeee raia wana ipendea camera ya nyuma tu na kale ka apple pale nyuma basi lakin pale amna simu... ukitaka u enjoy chukua samsung s8
Yeap iPhone ni jina tu. Kwa matumiz hamna ktu, kwa anayeta simu nzur kuliko zote asubiri galaxy s10 yenye speed ya internet 5g cyo 4g tena, Real display fingerprint. Nk.
 
Kikubwa kinachofanya iphone ionekane ya matawi ya juu ni branding. Sehemu kubwa ya apple products wanauza brand. Na steve jobs alifanikisha hili through demand and supply but tangia afe iphone zimekua kama techno nowdays na feki nyingi sokoni. Hiki kitu pia huko nyuma kilifanikiwa na samsung kipindi hicho ambacho samsung zilikua hazi depreciate value but zinatoweka sokoni. Kipindi hicho ambacho nokia alie dominate soko lakin simu zake ndo baada ya muda imeshuka bei sababu ya matoleo mengi na wingi wa simu sokoni.

Kingine kikubwa kuhusu apple na hichi ndo kinafanya hadi leo simu zake ziomekane ziko juu and preferred by most people from officials to drug dealers and warlords nk ni swala la data security and privacy.
Hapa uta refer ile kesi ya FBI kutaka kufungua simu ya gaidi na apple wakagoma ikaenda mahakamani but waka rule in favor of na apple wakashinda.
Katk hii dunia ya sasa hivi most softwares zina back doors ambazo security agencies wanazitumia kua access anything in the name of national security.

So thats what apple is selling na sio swala la camera or other phone specifications coz samsung among other phones wanampita.
 
So which is which!? Samsung s6 edge or IPhone 6s!??......
Maana nashindwa fika conclusion hapa .....comments bado zinahitajika!! Nataka niingie shop nidake moja wapo.
 
Kwa hy mnapenda hizo simu zetu za kulala saa 2 km kuku sio??
 
Nimetumia 1phone 6+ kwa miezi 6 nikaona mauzauza tuu nikabadilishana na mtu TECNO CX, now nipo sumsung,
Watu wenye hizi simu wanaona ufahari sana kuanazo lkn nafsini mwao mungu ndio anajua.
 
Kwa hiyo kauli ya sentesi ya mwisho unadhibitisha kabisa iphone sio nzuri kwa matumizi bali kua nayo tu ni unaonekana mtu,
Yaani hii nafananisha na mwenye gari premio na mwenye brevis zote speedmeter 180, mwenye brevis anajisifu gari yake inakimbia na ina nguvu lkn hakuambii kua kwa mwendo wa km500 anatumia fulltank2 wakati mwenye premio anatumia fulltank1
 
Tatizo ni pale mtu unapotumia iphone ukitaka i behave kama android wakati ni platform mbili tofauti, Landrover 110 ilikuwa haichambui oil wala mafuta inapiga kazi bila kuwasha taa ya check engine wala miss lakini haiifanyi iwe gari bora kuliko evoque inayochambua oil na mafuta.
Apple kwanza wana sera moja ya kujaribu kuzuia piracy kuanzia kazi za wasanii mpaka apps za developers ndiyo maana wanazuia kudownload ovyo ovyo vitu vya watu na apps zao.
Pia kupitia kudownload na kuweka vitu via njia maalum ni ulinzi tosha dhidi ya wadudu na hacking ndiyo maana appstore haina apps ambazo ni takataka kama google play kuna kila utitiri wa apps za ovyo.
Local developers hawajazuiwa kuweka apps appstore ila wanahitajika kulipa fees na itachekiwa kabla ya kuruhusiwa ilil linafanya mtu awe serious mtu hawezi kudevelope ujinga ujinga akaweka wakati itamcost kulipia lazima aweke kitu cha maana.
Hawaruhusu memory expansion kwasababu memory stick nyingi ni fake ni zinafanya simu ziwe slow zinakwasababu ya slow reading and writting speed.
Unapoongelea econsystem una maana gani? ios ina ecosystem safi kabisa kuna interaction kubwa between ios na bidhaa nyingine za apple kuanzia smart watches zao, tvs, mac os driven devices na icloud based services zao sasa sijui unaongela nini. Unaweza fanya kazi kwenye mac ukaja iendeleaza kwenye ipad au simu kwasababu zina sync automaticcally.
Navigation yake iko poa sana unless we ni mgeni au mtumiaji amekariri, jambo moja ambalo lilifanya ios iwapiku wengine hata mac os ni kuwa na simple and friendly user interface sema watumiaji wa tanzania wamekariri wanataka kila kitu kiwe kama walivyozoea ndiyo maana hata windowsa alipata shida kuwahamisha kutoka start button.
Dual sim card za nini tazama apple kalenga market ya wapi.
kuhusu ram, ios iko smooth hahitaji ram kubwa ku run smoothly kuna simu za android zina ram mpaka 6gb lakini sinachelwa kuwaka na zina rug wakati iphone kustack ni nadra na apple hana tabia ya kuweka vitu ambavyo havina maana kwenye gadgets zake sa akuwekee ram 5gb wakati ios hahitaji hiyo ku run smoothly atakuwa na maana gani? In future may ikitoka ios 16 huko huenda itahitaji ram 5gb.
megapixel tu hazi determine ubora wa picha itakayopigwa na simu, ubora wa picha unakuwa determined na vitu vingi ndiyo maana iphone 4 ilikuwa na migapixel 5 lakini ilikuwa na picha bora kuliko sim nyingi zenye megapixel nyingi.
Yah safari ni default browser, hii setback na mtu wakati wanunua iphone jua ni ios siyo android kama wataka kitu kinachokupa uhuru nunua android sasa unanunua kitu ukijua kina limitations halfu later unalalamika utakuwa mwehu.
 
Nilikua nafuatilia nione coment yako chief, umenena kweli, wenye iphone wanajiona sana lkn ukweli haziwapatii kila wanachotaka.
 
Utakuwa umeshindwa kuelewa statement. Iphone is worth the money you paid for, from hardware to software.

Huo mfano wako wa gari, mwenye premio mbona hasemi anatumia mda gani kufika hio safari ya 500km?
Kigezo chako wewe ni mafuta tu kwenye gari?
 
Wapenda selfie utawajua tuu[emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…