Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,712
- 1,661
Mp 8 za iPhone yoyote ile ni zaid ya mp 16 za Samsung, kamera bora haing'arishi pcha wala kutia nakshi yoyote ile
Wewe kweli ni mtumiaji wa iPhone siku hizi wanajitahidi picha unayopiga iwe sawa na unavyoina katika reality hakuna mingao ya ajabu piga simu na matecno mtu anaweza kusema unajichubuaMp 8 za iPhone yoyote ile ni zaid ya mp 16 za Samsung, kamera bora haing'arishi pcha wala kutia nakshi yoyote ile
LiveAah wapi, tuseme tu ukweli iPhone ni brand kubwa tu, lakini si kwamba ni ya magenious tu. Ina mapungufu mengi zaidi ya aliyoyataja mtoa mada. Sema kwa kuwa ni biashara Hamna tija kuyataja hapa.
Tuache tu kila mtu atumie kile apendacho kulingana na uwezo wake, mambo ya sijui iPhone, mara windows, mara Android, sioni kama Zina mashiko. Maana kwa mi niliyebahatika kutumia aina zote, iPhone ina limitation nyingi kuliko Android, which means ina security kubwa kuliko android. Lakini specification na user friendliness iPhone iko poor kuliko android. Na hata ukiangalia wengi wenye iPhone huwa lazima wawe na simu japo moja ya android.
Binafsi hata ukiiwasha ni seconds unaanza kutumia hakuna kustack kwenye apple Logo tunatofautiana kwenye mambo mengine najua wewe ni Timu Nyumbu ila kwenye suala la iPhone naungana na weweJiulize kwann marekan wanatumia sana iphone na sio android phones? Iphone ni highly secured phone achilia mbali performance yake...
Huyo nyumbu amekudanganya USA majority wanatumia androidBinafsi hata ukiiwasha ni seconds unaanza kutumia hakuna kustack kwenye apple Logo tunatofautiana kwenye mambo mengine najua wewe ni Timu Nyumbu ila kwenye suala la iPhone naungana na wewe
Najua na wewe team msukule wa lumumba ila kwa hapa nakuunga mkono maana hata JIWE kwenye hotuba yake kule moro akiwa anampigia katibu mkuu wa wizara ya maji alikua anatumia kitu cha iphone. Najua alikua anataka kutumia katekno ila wavaa miwani myeusi wakamkataza na kumwambia atumia iphone kwa usalama wake!!Binafsi hata ukiiwasha ni seconds unaanza kutumia hakuna kustack kwenye apple Logo tunatofautiana kwenye mambo mengine najua wewe ni Timu Nyumbu ila kwenye suala la iPhone naungana na wewe

Live, eti mwanaume unakomaa na beauty kamera?Wewe kweli ni mtumiaji wa iPhone siku hizi wanajitahidi picha unayopiga iwe sawa na unavyoina katika reality hakuna mingao ya ajabu piga simu na matecno mtu anaweza kusema unajichubua
Mada ina mambo ya msingi mengi. ila naona umejibu ambayo yanalingana na akili yako. Karibu tenaSasa kama huzipendi na “una uwezo wa kununua” si uachane nazo sasa. Endelea kununua samsung upate picha za kuuza sura insta. iPhone dont save garbage plus it’s security is high
Team Apple hatusumbuki kuazimwa chargerWakuu habarini.
Naomba kujua kwann Iphones zina specifications ndogo ukilinganisha na Simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.
Sijaona Iphone inayozidi hivi vigezo
Maximum RAM 3gb
Maximum Camera 12 Mega Pixels
Maximum Battery size </ = 3000 mAh
Hawa jamaa Inovation yao ipo katika mlengo upi???.
Hizi simu sijawahi kuzitumia na nahisi sizipendi japo ninapesa ya kununua Iphone niitakayo. Lakini naona simu kama ya waganga wa kienyeji. Maana Masharti ni mengi kuliko Enjoyments.
Yani kumiliki hizi simu ni kama Mkinga mfanya biashara anaelala chooni ilihali ana majumba ya kifahari
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Naomba ushirikiano
Mnaombwa nini? Au NyoroTeam Apple hatusumbuki kuombwa charger
sikuelewu pole kivipi,wenye iphone mnaweza kupokea na kupuga kwa bluetooth kama sisi wa android,Nikiingia kwenye gari spika yote kama nakuona vile.Pole sana
♀️
♀️
♀️
♀️
♀️