BobKinguti
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 228
- 87
So umekubali aliyoyaandika mtoa mada ni ya kweli?
Hapana. Still no perfect substitute for iphone so far! Wako Juu.
So umekubali aliyoyaandika mtoa mada ni ya kweli?
Anapitwa na Nini mzee kuweka Application za Maswa yetu blog, Global PublishersCompare na watu kama Sony, Samsung, LG, Google/Htc vitu vingi Apple anapitwa.
Ila hawa wachina wetu kina Huawei, Xiaomi, Oppo etc wao simu zao hazikamiliki bila kumuiga Apple, hivyo wanampa umaarufu na kutengeneza ile hype kila kitu cha Apple ni bora.
Why Kuwatch videos kwenye 3rd party app??. Hata mvuto unapunguaItune store syo ya msngi xana chukua kitu knaitwa Tubidy utadownload video yoyote uipendayo tena kwa quality ya HD 720
Huuu ni upotofu. Et file sharing ni uzamani??? Acha izo broo. Mbona nyimbo mnazotumiwa mnazisikilizia wutsup tuuuKurushiana vitu ni uzaman pia lazma uwe unique syo unachokpata android upate na iOS, itakuwa haina haja ya kuwa na wngi wa simu
Hujui kitu hadi kufikia hapa.Kwanza sijaona sim, iPad au pc au device yoyote inayotunza moto kama ya apple
You are kind of foolish person. Huna hoja u better stay quietHujatumia huwez kuijua pia uktumia mda mfup huwez kuijua kwanza ni sm ya wasom coz kuna sehem inakupa mwongozo wa kuitumia sasa lazma ujue kusoma
Pole sanainteraction ni muhimu,mimi hututumia redio yenye bluetooth kuongelea ndani ya gari sasa kwa iphone siwezi fanya mambo haya.
Kuna page zaidi ya 360 za User guide za Simu yangu ya iPhone 8 Plus Kilaza atapataje mda wa kusoma kuna mambo ya 3D touch achana na Watu waliokosa kazi mkuu na kuanza kufananisha Apple device na Vitu vya kipuuziHujatumia huwez kuijua pia uktumia mda mfup huwez kuijua kwanza ni sm ya wasom coz kuna sehem inakupa mwongozo wa kuitumia sasa lazma ujue kusoma
Kwa hiyo unatembea na simu ngapi mfukoni?Swala la dual sims ni mawazo local kabsa kwanza bnafs cpend