Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Huwa nasikia kuna 5s na 5 tofauti yake niniIko up to date usiwaze.
Huwa nasikia kuna 5s na 5 tofauti yake niniIko up to date usiwaze.
Huwa nasikia kuna 5s na 5 tofauti yake nini
Ok boss kwa bei ya dsm ni ngapi kwa sasa5s ni ya kisasa zaidi ya 5.
Kwahiyo unatakiwa uchukie 5s ndio inapokea ios 12.0.1,hiyo 5 iliishia ios 10.
Ok boss kwa bei ya dsm ni ngapi kwa sasa
Nadhani nitanunua tu 16gb laki nne siyo mbaya...vipi hazipo fake nikakamatwa masikio!Inategemea na storage 16gb mpya ni 400k,32gb mpya ni 450.
Used inategemea na condition,unaweza pata kwa 250k mpaka 200k.
Nadhani nitanunua tu 16gb laki nne siyo mbaya...vipi hazipo fake nikakamatwa masikio!
Frag niniKila siku nafatilia fragship, we ndo fatilia, hakuna cm zinazotoka wakauza juu ya iphones, labda kwa special edition, ukiuza juu ya iphone, its simple, hupati wateja
Samsung mwenyewe kashindwa



??na leo umefuatilia???



betri yenyewe, na pia tizama connectionsChief-Mkwawa simu yangu ya I Phone 5s inazimika na kuwaka yenyewe alafu betri linaonesha mara limejaa mara limeisha. Tatizo laweza kuwa nini? Msaada pls!
Chief-Mkwawa simu yangu ya I Phone 5s inazimika na kuwaka yenyewe alafu betri linaonesha mara limejaa mara limeisha. Tatizo laweza kuwa nini? Msaada pls!
Unaonaje bei ya samsung S10+yenye gb 512 ?Kila siku nafatilia fragship, we ndo fatilia, hakuna cm zinazotoka wakauza juu ya iphones, labda kwa special edition, ukiuza juu ya iphone, its simple, hupati wateja
Samsung mwenyewe kashindwa
Unaonaje bei ya samsung S10+yenye gb 512 ?
Sent using Samsung Galaxy
😂😂😂😂😂😂😂IPhone kusema ukweli ina mapungufu mengi mno, nliitumia iPhone nikarudi fasta sana android...IPhone jina tu ila android ndo baba lao...just imagine mtu huwezi hata kuprint document ukienda stationary wakati mwenzako wa android akipachika tu waya kwenye pc anaperuzi document fasta then anaprint we unahenya tu, Mwenzako ana uwezo wa kudownload nyimbo za kibongo kwenye blogs we unahenya tu, umeenda kijijini babu yako anataka umrushie picha ya ukumbusho kwenye sim yake yenye Bluetooth unabaki kuhenya, simu haina slot ya kusomea memori kadi hivyo inakubidi uhenye ununue mabando kwajili ya online backups na usiombee net iwe slow utahenya sana, simu haina laini 2 hapo inakulazimu ununue simu ya pili iwapo una line 2 au zaidi so unahenya bado, app developers wengi wanatengeneza app zao kwa android hata apps kibao za bongo ni mwendo wa android tu na wenzako wanafaidi apps za local developers while we unahenya tu, mwenzako no stress full time internet na mziki kwa juu hakuna stress za chaji kuisha we unabaki kuhenya na stress za chaji, ngoja niishie hapa ila mapungufu mengi mnooooo.....
Android phones ndo zina thamani halisi ya pesa unayolipa mana inatimiza sifa za kuwa economic, efficient na effective.....hizi bei Kali za iPhone naona ni pricing strategy zilizobase prestige ili kufanikisha price skimming, Simu ya android hata ya laki 6 tu ina uwezo wa kuipiga bao hata iPhone X. Kazi kwenu team iPhones
interaction ni muhimu,mimi hututumia redio yenye bluetooth kuongelea ndani ya gari sasa kwa iphone siwezi fanya mambo haya.
Labda mkuu naomba kujua kuhusu hizo simu za iphone app ya JAMIIFORUM inakubali?Mimi tangu nilipoanza kutumia apple devices sijawahi kujutia mwanzoni nlikuwa nawashangaa watu wanaozisifia nawaona hawajui kitu lkn nlipoingia nmeelewa vzr
Labda mkuu app ya jamiiforum vipi nayo haikubali?Tunaomba list ya enjoyments za apple.
Sisi tumekuja na drawbacks hizi hapa
1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu
Mkuu hapa nilipo natumia android ya kampuni ya xiaomi model redmi 4a.Inakubali mkuu