Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

Kwanini Simu za iPhone zina specifications ndogo?

marekani vs asia, mtanange mkali, ila mwisho wa siku wote mkono umeenda kinywani na wewe umetumia simu kali.
 
aah lab
Simu ikiwa discontinued inamaanisha kwamba hawazalishi tena units za hizo simu huko kiwandani.
Mfano ilipotoka iPhone 8 still waliendelea kutengeneza iPhone 7.
aah labda hazina wateja
 
Watu wengi hawafahamu muwa apple ni kampunz yenye nguvu sana kwenye soko lakin haimaanishi ndio simu bora kuliko zote zipo simu hata kwenye soko la kwetu huku hazijafika sababu kwanza zina bei na bora zaid ya Iphone ila wana nguvu ya soko ingia mtandaoni utafute simu zenye ubora na bei kibwa kuliko iphone utaikuta imetupwa mbali tu nyingi zinaeishia america na ulaya.!

Sasa kwenye simu bora 5 IPhone unaitoa vip??? Kitu bora huwa bora tu rafiki angu..IPhones ziko vizuri ndugu
 
Hizo simu zinabebwa na jina tu.lakini za kawaida sana.ni kama black Berry
 
Wakuu habarini.
Naomba kujua kwann Iphones zina specifications ndogo ukilinganisha na Simu nyingine zote hata ambazo zinachipukia.

Sijaona Iphone inayozidi hivi vigezo

Maximum RAM 3gb
Maximum Camera 12 Mega Pixels
Maximum Battery size </ = 3000 mAh

Hawa jamaa Inovation yao ipo katika mlengo upi???.

Hizi simu sijawahi kuzitumia na nahisi sizipendi japo ninapesa ya kununua Iphone niitakayo. Lakini naona simu kama ya waganga wa kienyeji. Maana Masharti ni mengi kuliko Enjoyments.

Yani kumiliki hizi simu ni kama Mkinga mfanya biashara anaelala chooni ilihali ana majumba ya kifahari

1. No interaction with PC without Itunes
2. No Bluetooth compatibility with other devices except Its Generic Siblings
3. Kupata Apps za local developers ni Msala.
4. No downloading on Websites and blogs
5. Poor documents perusing and management
6. No memory extension.
7. Finger print zinakufa Ovyo kuliko simu zozote
8. Poorness of IOS Ecosystem
9. No access of payable services in some many regions ( Especially Africa)
10. Poor navigation of ( BACK ) Button
Sijui watu wenye Iphone huwa mna enjoy nini kwenye simu zenu.
11. No dual SIM
12. No File Management App
13. Safari si a default Browser no way ndugu yangu

Naomba ushirikiano

hayo ndiyo uliyoyaona kwa upande wako.. ndio maana watumiaji wa IPHONE ni watu wa aina tofauti na tabia tofauti na watumiaji wa vifaa vya ANDROIDS...

tunaangalia KITU KIMOJA nacho ni SECURITY................................

ndio maana wafanyabiashara na wakuu wa usalama wanatumia IPHONE... WAASI pia wanatumia IPHONE.. main point ni SECURITY.... kuhusu CAMERA ya iphone usifananishe na CAMERA za takataka nyingine
 
hayo ndiyo uliyoyaona kwa upande wako.. ndio maana watumiaji wa IPHONE ni watu wa aina tofauti na tabia tofauti na watumiaji wa vifaa vya ANDROIDS...

tunaangalia KITU KIMOJA nacho ni SECURITY................................

ndio maana wafanyabiashara na wakuu wa usalama wanatumia IPHONE... WAASI pia wanatumia IPHONE.. main point ni SECURITY.... kuhusu CAMERA ya iphone usifananishe na CAMERA za takataka nyingine
Acha umaandazi.
 
Chief, out of all sio wewe wa kucompare 2017 iphone na 2018 Samsung and then ukasema Apple when it comes to perfomance wana lag behind sasa.

This here is my point, Samsung s9+ exynos, ina Octa core processor while hio Iphone X ina Hexa core, hapo unaona Samsung amehitaji 2 more processors kumpiga bao apple for few seconds au milliseconds. Samsung in 6GB of rams!!!! while iphone ina 3GB of rams and then you still give credit to Samsung or android for few seconds difference? come on Chief, who is more efficient and well optimized here? Tizama hizo specs wewe mwenyewe.... just imagine APPLE anafunga octa core yake na 6GB of rams sijui mtakuja kusemaje....

Besides, again, 6GB of ram for what tasks? sasa simu zimekuwa more powerful kulipo PC wakati kwenye simu hupati Full Adobe photoshop versions? Hapa pana game tu inachezwa, Smartphones zimeshafikia ukingoni, the only way now kuwavutia watu, just put big specs!
Hayo unayoongea ni mengine, zote ni simu zinauzwa dola 1000 kwanini Apple hajaeka 6gb ram na octa core processor? Ingekuwa hio iphone inauzwa bei rahisi argument zako zingekuwa valid ila sababu zinauzwa bei sawa argument zako zinampa sifa zaidi samsung kwamba anaweka vitu zaidi kwa bei ile ile kama ya iphone?

Kuna kipindi die ya Apple A series soc ilikuwa ni kubwa kuliko baadhi ya processor za computer, nikisema die namaanisha ukubwa wa ile processor, sikuwahi sikia fans wa Apple wakikosoa kwamba simu zao zina nguvu sababu ya Die kubwa, makampuni ya Android hawakuwa na luxury kama hii sababu ya cost.

Sasa hivi samsung ameongeza bei ya simu na vile vile die ya exynos sasa hivi ni kubwa na hata perfomance imeongezeka sana compare na snapdragon ndio maana unaona Apple anapitwa kwenye game yake mwenyewe mfano umeona mwenyewe kwenye hio video ambayo imetoka kwenye Apple pro site, vitu kama ku export 4k na ku render Apple alikuwa na advantage, simu za Android hazikuwa vizuri kwenye kurender video.

Na unapozungumzia simu hazina photoshop ama productivity kwq ujumla sidhani kama ni weakness ya Android pekee bali hata ios, os zote mbili ni ma toy tu compare na os za productivity kama windows na linux distro
 
Mnatupa taabu sana wana Iphone nyie... Kwa hiyo nia yenu hasa sisi wenye vitochi mtuache kwenye mataa tusichangie mada?

Muulizeni Steve Jobs kwanini kaweka Specification Chache
 
Hayo unayoongea ni mengine, zote ni simu zinauzwa dola 1000 kwanini Apple hajaeka 6gb ram na octa core processor? Ingekuwa hio iphone inauzwa bei rahisi argument zako zingekuwa valid ila sababu zinauzwa bei sawa argument zako zinampa sifa zaidi samsung kwamba anaweka vitu zaidi kwa bei ile ile kama ya iphone?
Kwanini aweke 6GB of rams ikiwa 3 GB inatosha? Kwanini aweke 8 cores ikiwa 6 zinatosha? Unaweza ukaweka more features wenye kitu then ikawa useless, umeweka ilimradi uvutie wateja tu. My point iko pale pale, Ios au Apple are more efficient then androids. Sitoshangaa next iphone ikitoka ikawa ina specs izo izo zaid ya kusikia A12 processor lakini ram ikabaki 3gb au 4gb.

Legacy ya Steve Jobs ni kuunda features ambazo ni usable, sio kwamba aweke features ilimradi tu awe na features nyingi bro. Samsung wakati wa S4 aliimock Apple kwa kutumia gesture controls, sijawahi kumuona mtu akipokea simu kwa kuwave, au anasoma message kwa kuweka kidole karibu na screen, hizi ndio useless features Samsung used to lure customers. So far Apple is not on that path...

Kuna kipindi die ya Apple A series soc ilikuwa ni kubwa kuliko baadhi ya processor za computer, nikisema die namaanisha ukubwa wa ile processor, sikuwahi sikia fans wa Apple wakikosoa kwamba simu zao zina nguvu sababu ya Die kubwa, makampuni ya Android hawakuwa na luxury kama hii sababu ya cost.
Chief, swali la kujiuliza, was that power needed for that iphone and was it usable? kama it was usable tatizo liko wapi? hata Samsung kama 6GB of rams na octa core za 2.5 km ntakua sijakosea zinatumika, mbona fresh tu. iwe reasonable. Sio unafungua app ya benchmark halafu unasema kuwa ndio inatumika. We need day to day use, sio kwa average person, tuzungumzie kwa heavy user. Hata photoshop doesnt need 6GB of ram kwenye PC where unapata full functions, Ume mention game ya fortnite, tena ukasema unahitaji 3GB of rams tu, samsung imeweka 6GB. Hio fortnite kumbe unaweza ukacheza kwenye iphone x bila kuhitaji more rams?

Sasa hivi samsung ameongeza bei ya simu na vile vile die ya exynos sasa hivi ni kubwa na hata perfomance imeongezeka sana compare na snapdragon ndio maana unaona Apple anapitwa kwenye game yake mwenyewe mfano umeona mwenyewe kwenye hio video ambayo imetoka kwenye Apple pro site, vitu kama ku export 4k na ku render Apple alikuwa na advantage, simu za Android hazikuwa vizuri kwenye kurender video.
Bro hapa tuchukue gari mbili zenye 4 cylinders zote tuzifanyie comparison. Ukichukua V8 ukacompare na V6 itakuwa sio fair.

Unataka kucompare 8 core na 6 core? 3GB of rams kwa 6GB of rams? Niletee video hapa ya android phone yenye same specs, 3GB of rams na 6 cores akisha tuone perfomance yake.

Au tusubiri Apple na yeye atoe 8 core na 6GB of rams akisha tuone....
 
Kwanini aweke 6GB of rams ikiwa 3 GB inatosha? Kwanini aweke 8 cores ikiwa 6 zinatosha? Unaweza ukaweka more features wenye kitu then ikawa useless, umeweka ilimradi uvutie wateja tu. My point iko pale pale, Ios au Apple are more efficient then androids. Sitoshangaa next iphone ikitoka ikawa ina specs izo izo zaid ya kusikia A12 processor lakini ram ikabaki 3gb au 4gb.
Nilishakueleza hapo juu kwamba havitoshi kuna matumizi kibao ambayo yanahitaji zaidi processor yenye nguvu na ram kubwa, pia kuna vitu kama multitasking vinahitaji as much ram as possible same kwenye emulation.

Kaangalie video za fortinite kote kwenye android na ios game linalag kama halina akili nzuri sababu simu hazina uwezo, then leo hii unasema hizo specs hazihitajiki?

Sababu tu hakuna breakthrough ya technology bado ila nguvu inahitajika zaidi.



Legacy ya Steve Jobs ni kuunda features ambazo ni usable, sio kwamba aweke features ilimradi tu awe na features nyingi bro. Samsung wakati wa S4 aliimock Apple kwa kutumia gesture controls, sijawahi kumuona mtu akipokea simu kwa kuwave, au anasoma message kwa kuweka kidole karibu na screen, hizi ndio useless features Samsung used to lure customers. So far Apple is not on that path...
Mbona na nyie pia mnatengeneza useless na gimmick feature? Ipo wapi 3d touch? Imekuja miaka kadhaa sasa hivi imekuwa discontinued kwenye iphone mpya, sasa hivi Apple ndio anamcopy samsung na kununua vifaa kwake, kuanzia misimu yenye kioo kikubwa, lcd hamuitaki tena mnataka oled kama samsung, mnatoa bezel, etc


Chief, swali la kujiuliza, was that power needed for that iphone and was it usable? kama it was usable tatizo liko wapi? hata Samsung kama 6GB of rams na octa core za 2.5 km ntakua sijakosea zinatumika, mbona fresh tu. iwe reasonable. Sio unafungua app ya benchmark halafu unasema kuwa ndio inatumika. We need day to day use, sio kwa average person, tuzungumzie kwa heavy user. Hata photoshop doesnt need 6GB of ram kwenye PC where unapata full functions, Ume mention game ya fortnite, tena ukasema unahitaji 3GB of rams tu, samsung imeweka 6GB. Hio fortnite kumbe unaweza ukacheza kwenye iphone x bila kuhitaji more rams?
Ukiambiwa game linataka 3gb ram haimaanishi simu iwe na 3gb ram bali linamaanisha uwe na free ram 3gb, simu inaweza ikawa na ram 4gb ila free ram ikawa 2gb tu hivyo isirun hilo game.

Na photoshop inategemea unafanya nini inaweza ikahitaji hata 32GB ram ama zaidi si kila kazi ya photoshop inafanana.

Kifupi specs zinahitajika zaidi kuna apps kibao hazifanyi kazi hadi simu zitakavyokuwa na nguvu zaidi.


Bro hapa tuchukue gari mbili zenye 4 cylinders zote tuzifanyie comparison. Ukichukua V8 ukacompare na V6 itakuwa sio fair.

Unataka kucompare 8 core na 6 core? 3GB of rams kwa 6GB of rams? Niletee video hapa ya android phone yenye same specs, 3GB of rams na 6 cores akisha tuone perfomance yake.

Au tusubiri Apple na yeye atoe 8 core na 6GB of rams akisha tuone....

Kwanza mkuu usi mistake number of cores na nguvu ya processor, japo Ya Apple ina core 6 ila ina nguvu zaidi ya samsung core 8 atleast kwa benchmark ya geekbench,

Soc zinazotumika kwenye android zinaitumia mfumo wa big little, kunakuwa na core 8, core 4 kubwa zenye nguvu na core 4 ndogo zinazotunza chaji.

So simu ya samsung inaporun kitu heavy ni core 4 ndio zinapiga ile kazi.

at same time A11 ina core 6 ambazo zote kwa pamoja zinapiga mzigo. Hivyo Apple anakuwa kwenye advantage simu zikirun kitu heavy.

Ila mwisho wa siku hata iphone iwe na power vipi ios italimit hio power sababu inalimit mambo mengi ikiwemo multitasking.
 
Hapo kwenye megapixels, mimi sio mtaalamu sana wa camera lakini katika simu usiangalie megapixels peke yake, angalia kitu kinaitwa aperture.

Mfano sasa hivi simu nyingi zina 12mp lakini tofauti inakuja kwenye aperture. Ukitaka kuijua aperture, kwenye sites mbalimbali zinazoweka specifications za simu utaona kwenye camera wanaandika 13mp, f/1.8 sasa hiyo f/1.8 ndo kitu cha kuangalia zaidi.

The less it is in figures, the higher the quality of the pic.

Hivyo hata kwenye iPhones ni kweli hawana zile mbwembwe za 16mp, ila aperture is what matters.
Ni kweli megapixel sio kitu pekee cha kudetermine ubora wa picha ...unaweza kujiuliza kwanini Samsung s5 ina 16MP ila Samsung S7 ambayo ni latest flagship kuliko S5 lakini ina 12MP..
 
Back
Top Bottom