GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,177
1. Maharage
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga
Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?
Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?
Nawasilisha.
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga
Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?
Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?
Nawasilisha.