GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,742
- 109,178
Zifuatazo ni Mboga ambazo kiukweli siku hizi zinauzika na zinaenda kwa kasi sana kuliko ilivyokuwa huko nyuma ambazo kwa haya maeneo ya ' Kitajiri ' nakumbuka hizi mboga zilikuwa zikinunuliwa na kupewa sana Mbwa, Paka, Sungura, Mbuzi na Ng'ombe ila kwa sasa imegundulika ' Binadamu / Watu ' wa hayo maeneo ndiyo wanazitumia sana katika milo yao ya kila siku.
Maeneo hayo ni:
Nawasilisha.
Maeneo hayo ni:
- Mbezi Beach kwa ' Washua '
- Kawe Beach kwa ' Washua '
- Bahari Beach kwa ' Washua '
- Kunduchi Beach kwa ' Washua '
- Mikocheni Uznguni acha hii yetu ya Uswahilini
- Masaki na Oysterbay
- Kijitonyama na Makumbusho mitaa ile ya ' Washua '.
- Dagaa
- Mnafu
- Matembele
Nawasilisha.