Kwanini siku hizi Mboga hizi zinalika sana Oysterbay, Masaki, Mbezi Beach, Msasani, Mikocheni, Upanga na Ada Estate?

1. Maharage
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga

Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?

Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?

Nawasilisha.
Kwa hiyo wewe ulitembelea hizo nyumba zooote na kuangalia kwenye friji zao ? Je ulifanikiwaje kufika kwenye nyumba zooote na kuangalia jikoni kilichopikwa ? Na ukifanikiwaje kuangalia kwenye friji zao ? Tatizo la watu masikini ni fikra za kimaskini kuhisi kuwa wale kwa sasa watakuwa hawana hela ,usije ukajidanganye kuwa watu wa maeneo hayo watafikia kiwango chako cha umasikini pambana na hali yako ya umasikini usishabikie uongo wa kuhisi kwa kujitekenya na kucheka mwenhewe
 
1. Maharage
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga

Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?

Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?

Nawasilisha.
Ulpita kukagua kla nyumba? Au umekaa tuu kijiwen ni majungu?
 
Kuna mhaya flani kafukuzwa, kipindi cha nyuma akiwa kitengo watu mtaani Walikuwa hawamfahamu alikuwa akipita ni vumbi na tinted fulltime na shopping alikuwa anafanya kwenye supermarket hivi sasa anaendesha baiskeri za vikapu mbele kwenda kuhemea nyanya, vitunguu na mbogamboga maisha yamechenji hata uwezo wa kununua mafta ya gari hana.
Ana gari 3 za kifahari anauza 2 wateja hakuna maana wateja wengi wamezoea gari za million 5,6,7,8

Hivi sasa kuuza Range milion 40 na Nissan Patrol million 45 ni ngumu sana nilimwambia auze bei ndogo hata 25 anasema hawezi.

Ukimuona ktk baiskeri anadai anapenda kwa sababu anafanya mazoezi lskini huko nyuma alikuwa hatumii,

Ha ha ha ha ha ha.....nimecheka sana Mkuu na Shikamoo mno tu! Ila kama huna ' Utani ' na Wahaya nakuomba waombe radhi sasa hivi kwani wakija hapa na kuona hili ' dongo ' ulilowapa hakyanani watakushambulia kama mpira wa Kona. Mimi hawaniwezi kwakuwa wananijua ni Mjomba wao na nawamudu vile vile. Kazi Kwako!
 
Kuna mhaya flani kafukuzwa, kipindi cha nyuma akiwa kitengo watu mtaani Walikuwa hawamfahamu alikuwa akipita ni vumbi na tinted fulltime na shopping alikuwa anafanya kwenye supermarket hivi sasa anaendesha baiskeri za vikapu mbele kwenda kuhemea nyanya, vitunguu na mbogamboga maisha yamechenji hata uwezo wa kununua mafta ya gari hana.
Ana gari 3 za kifahari anauza 2 wateja hakuna maana wateja wengi wamezoea gari za million 5,6,7,8

Hivi sasa kuuza Range milion 40 na Nissan Patrol million 45 ni ngumu sana nilimwambia auze bei ndogo hata 25 anasema hawezi.

Ukimuona ktk baiskeri anadai anapenda kwa sababu anafanya mazoezi lskini huko nyuma alikuwa hatumii,
Ila impongo umeenda nje ya mada. Yeye kufukuzwa kazi, kuendesha baiskeli na kuwa na magari ya kifahari yana uhusiano gani na mada ya genta? Yumo anakusoma humu hivyo jiandae asija akakuletea wale aliowaacha wasiojulikana.
 
IMG_20181201_120013_431.jpg
 
Ha ha ha ha ha ha.....nimecheka sana Mkuu na Shikamoo mno tu! Ila kama huna ' Utani ' na Wahaya nakuomba waombe radhi sasa hivi kwani wakija hapa na kuona hili ' dongo ' ulilowapa hakyanani watakushambulia kama mpira wa Kona. Mimi hawaniwezi kwakuwa wananijua ni Mjomba wao na nawamudu vile vile. Kazi Kwako!
Mjomba, mjukuu? Kitukuu weeee uliyepigwa ukarudi bila meno ukaamua kuyango'oa ili uonekane ni fasheni!!!!! Hahaha.
 
Zamani Ilikuwa Ni Mwendo wa kupiga madili na ngawira tu hela za serikali. Sasa utapigia wapi dili wakati Magu anaangalia kila shilingi inaenda wapi na kufanya nini ? Ni mwendo wa kujibana na mshahara tu.
 
Gentamycine kila siku IQ inazidi kushuka mwanausalama feki

Inaonekana hiyo Kazi unaitaka sana lakini pengine hujakidhi ' Vigezo ' hivyo umebakia tu kuweka Chuki zako kwa wale ambao unaona wanawajua hao Watu na pia wana angalau a,b,c's za ufahamu wa hayo mambo. Hivi kwa Kasi hii ya Mitandao ambayo inasaidia kuongeza ' Maarifa ' ya mambo mengi na mbalimbali ya Ujasusi / Usalama kuna Ugumu wowote kama Mtu ukiwa ni mfuatiliaji wao au wa Kazi zao kushindwa kuwajua? Unadhani CIA na KGB na hata MOSSAD walivyoweka baadhi ya ' Publications ' zao Mitandaoni walikuwa ni ' Wapumbavu ' kama ulivyo ' Mpumbavu ' Wewe? Halafu mwisho nitakuomba uniwekee hapa kama sehemu yako ya ' Ushahidi ' ni wapi au lini hapa JamiiForums Mimi GENTAMYCINE niliwahi Kujinasibu / Kujitangaza ni Mwanausalama? Endelea tu kunitafuta Mkuu utanipata ' very soon ' Wahed Wewe!
 
Masikini wengi hutamani tajiri aanguke (au hufurahia anguko la tajiri) ili awe masikini kama wao badala ya wao kutamani na kufanya juhudi ili kua juu kama tajiri!!


Kumbuka.....

"Tajiri akiugua masikini ndio huanza kufa"
 
1. Maharage
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga

Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?

Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?

Nawasilisha.

Ni Nani Tanzania hii asiyekula mboga hizo?

Labda ni kwa Shangazi yako unaemtembelea huko.
 
Kumbe kipimo cha umasikini ni kula Mboga "vegetables?" Haya ni maajabu aisee!!

Siku zingine ninapokuwa naanzisha ' Mada ' hapa kama una ' IQ ' ndogo mithili ya punje za Mavi ya Sisimizi uwe unakaa pembeni sawa? Uandishi wangu daima hapa umekuwa ni wa Kifikirishi na Kifasihi zaidi ambao ' Wapumbavu ' wengi wamekuwa wakipata nao taabu kama siyo shida sana. Kwa wenzako wengi hapa Jamvini walio na akili ( IQ ) Kubwa tayari wameshaelewa ' Ujumbe ' upi / gani nimejaribu Kuutuma hapo na ndiyo maana unawaona wanatiririka na kuserereka vizuri tu tofauti na uwazavyo ' Popoma ' Wewe.

Hii ni ' Dozi ' yangu ya awali / utangilizi Kwako nasubiri urudi nimalize sasa ' Shughuli ' yote.
 
1. Maharage
2. Kisamvu
3. Matembele
4. Mchicha
5. Majani ya Kunde
6. Kabichi
7. Majani ya Maboga


Halafu Swali la nyongeza ni kwanini pia ukienda hayo maeneo tajwa hapo katika Kichwa cha Habari siku hizi katika Majokofu ( Friji ) zao ni nadra sana kukuta Vinywaji kama Soda, Bia na Mivinyo ya kila aina hadi na Matunda Matunda mbalimbali kama huko nyuma / awali?

Kumetokea nini Tanzania hasa kwa Wakazi ' tukuka ' wa hayo maeneo?

Nawasilisha.
Kuna majibu kama matatu:
1) Wazee wengi wanaoishi masaki sasa hivi wengi wao ni diabetic, kisukari na pressure sana hivyo diet yao kubwa ni mbogamboga ambazo ni organic, hivyo uwezi kuta soda, sana sana utakuta maji ya baridi na Juice ya matunda yalisagwa kwa blender.
2) Hali ya maisha kwa ujumla yamebadilika sana, watu walikuwa wanaenda Dodoma wanakuja na nyama ya ng'ombe mzima toka NACCO (NG'OMBE WA NYAMA HAPO DODOMA), sasa hivi hakuna hiyo,
3)Pia wengi wao sasa hivi wanakula sana ugali wa dona na mtama kulinda afya zao
4) Ukienda kwenye night club nyingi mabinti wengi wanaojiuza wanatoka uko kwa wakubwa, masaki, mikocheni, mbenzi beach etc.
 
Back
Top Bottom