Kwanini Shule za Serikali za vipaji maalum hazifanyi vizuri mitihani ya kidato cha nne (CSEE) tofauti na ile ya kidato cha sita(ACSEE)

Sijasoma uzi wako ola nataka nikuambie hakuna shulw wanaiva mitihani kama private school. Enzo za ujana wangu niliwahi kuwa mwalimu wa taaluma private school fulani hivi; hivyo msinibishie
Sasa ujasoma unajibu nn?Nyie ndo zile mbuzi za MiFive tena na Katiba mpya🤣🤣🤣🤣
 
Jibu ni rahisi tu, advance shule za vipaji, asilimia kubwa uchukua wenye one kali kutoka shule za kata, ambao wamefaulu kwa uwezo halisi bila kubebwa (wakuu wa shule ulizingatia sana hili kwenye selection zao), ndiyo maana a level ufanya vzuri kuliko private na hao unao waonaga advance wana 2 na 1 za kuchechemea kutoka kwenye hizi shule za vipaji ni wale waliotoka private kwa asilimia kubwa. Pili advance shule ni chache kwa ni rahisi kudhibiti wizi wa mitihani ukilinganisha na o level yenye maelfu ya shule, ndiyo maana unaonaga mara nyingi wanafunzi walio ongoza kitaifa utokea shule za serikali za vipaji maalumu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…