1. Ufaulu huu mkubwa tulioushuhudia si kuwa watoto walisoma sana na kuwa na uwezo wa kujibu maswali. Kwanini nasema hivyo:
Haiwezekani shule ambayo mwaka jana ilikuwa na 90% or so Div 0/Div 4, leo ghafla ina div 1 and 2.
2. Shule ambazo zimejiwekea rekodi ya kudumu ya kufeli, leo zinaongoza kwa ufaulu
3. Ufaulu ni mkubwa mno ie almost shule zote zina div 1 nyingi tu ambazo hatujawahi kuzishuhudia miaka mingi nyuma.
If not div 1 basi ni div 2.
Note: Sidhani kama ulivuja maana hauwezi vuja nchi nzima , maana ufaulu ni wa nchi nzima
Mfano angalia mtihani kama huu wa biology 2022, Siyo standard ya A level
Haiwezekani shule ambayo mwaka jana ilikuwa na 90% or so Div 0/Div 4, leo ghafla ina div 1 and 2.
2. Shule ambazo zimejiwekea rekodi ya kudumu ya kufeli, leo zinaongoza kwa ufaulu
3. Ufaulu ni mkubwa mno ie almost shule zote zina div 1 nyingi tu ambazo hatujawahi kuzishuhudia miaka mingi nyuma.
If not div 1 basi ni div 2.
Note: Sidhani kama ulivuja maana hauwezi vuja nchi nzima , maana ufaulu ni wa nchi nzima
Mfano angalia mtihani kama huu wa biology 2022, Siyo standard ya A level