Mnyatiaji
JF-Expert Member
- Dec 13, 2018
- 3,706
- 4,759
Vyombo duni ziwani vinaweza vuna mazao mengi sana. Jiulile boat ya kivuvi ya juu kabisa ziwa vic inagharimu chini ya 15 milion hivyo wamejikuta wawekezaji huku ni wengi kuliko baharini. Na kujikuta mazao ya huku yanakuwa mengi na kufanya bei ishuke kuliko wa baharini. Kitu cha pili ni uhamaji wa watu kutoka bara kwenda pwani. Mtu anatoka bara akiwa kazoea chakula chake na kuhamia pwani hivyo muuzaji anampelekea hukohuko na ananunua ila wanaotoka pwani ni wachache sana kuja bara hivyo muuzaji anakuwa hana uhakika na wanunuzi wa mzigo wake
Je, Sangara wa ziwa Viktoria ni yule yule wa asili?
mimi ni mtumiaji wa sangara haswa haswa kutoka mwanza. Kwa sasa nimeshuhudia Samaki aina mbili za Sangara mmoja akiwa mkondefu na mwingine mwenye mnofu ...je Sangara huyu mwenye mnofu ni yuleyule wa asili au ni Sangara wa kisasa aliyepandikizwa? Kama ni Sangara aliyepandikizwa je nini hatma ya...
www.jamiiforums.com