Viongozi mchunge kauli zenu,
Kujifanya mnajua kila kitu wakati tunajua uwezo wenu kiakili ni mdogo lakini tukiwaona tunajifanya kuwanyenyekea deep down tunajua tunawanyenyekea wajinga wenye madaraka.
Umeua biashara ya Sato na Sangara kwa kauli yako kuwa maji ya kuoshea maiti hutumika kuhifadhia samaki hao. Leo hii umeua ajira za watu wa Mwanza, Kagera na Mara na Kigoma kwenye migebuka bila hata aibu.
Leo hii hakuna order za samaki kama sangara na sato kwenda Dar, Dodoma, Morogoro, Mtwara, Mbeya wateja wamegoma kabisa.
Umewakosesha ajira vijana wa kitanzania hasa wavuvi, wamiliki wa mitumbwi na boti za kuvulia, yaani hata aibu hauoni.
Kwanini viongozi mnaropoka bila kufikiri wala bila kua na tafiti za kutosha?
Kujifanya mnajua kila kitu wakati tunajua uwezo wenu kiakili ni mdogo lakini tukiwaona tunajifanya kuwanyenyekea deep down tunajua tunawanyenyekea wajinga wenye madaraka.
Umeua biashara ya Sato na Sangara kwa kauli yako kuwa maji ya kuoshea maiti hutumika kuhifadhia samaki hao. Leo hii umeua ajira za watu wa Mwanza, Kagera na Mara na Kigoma kwenye migebuka bila hata aibu.
Leo hii hakuna order za samaki kama sangara na sato kwenda Dar, Dodoma, Morogoro, Mtwara, Mbeya wateja wamegoma kabisa.
Umewakosesha ajira vijana wa kitanzania hasa wavuvi, wamiliki wa mitumbwi na boti za kuvulia, yaani hata aibu hauoni.
Kwanini viongozi mnaropoka bila kufikiri wala bila kua na tafiti za kutosha?